GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Membe nimemsikia akitoa msimamo wa Tanzania juu ya taifa la Sahara magharibi ambayo inatawaliwa na Morocco ambao wameomba kujitenga na kuwa nchi huru kuwa wanapendekeza wana Sahara Magharibi wapige kura ya maoni kuamua kama wanataka kutawaliwa au wajitawale wenyewe.
Na amezidi kusema Tz ni nchi huru inapenda kila nchi na wananchi wake waamue jinsi gani ya kuishi na kuamua juu ya nchi zao
Muono wangu mbona Zanzibar wanagoma kuwaruhusu kupiga kura ya maoni juu ya nchi yao?