mchafukuoga
Member
- Apr 17, 2011
- 24
- 9
jamani wana jamvi mwenye habari kamili nasahihi atujuze,
kuna kampuni inaitwa athi riva imenunua eneo kubwa sana kwa ajili ya kuzalisha saruji tanga na kuna wafugaji wa n'gombe wa maziwa katika hilo eneo la kuanzia maweni hadi amboni:
nina wasisi kama inaweza watu wafukuzwe .
mwenye habari sahihi na za uhakika atujuze.
tunaogopa kutanga tanga :mod:
kuna kampuni inaitwa athi riva imenunua eneo kubwa sana kwa ajili ya kuzalisha saruji tanga na kuna wafugaji wa n'gombe wa maziwa katika hilo eneo la kuanzia maweni hadi amboni:
nina wasisi kama inaweza watu wafukuzwe .
mwenye habari sahihi na za uhakika atujuze.
tunaogopa kutanga tanga :mod: