radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,428
- 32,206
Mi uchumi wangu unaendelea kuimarika kama wewe haufanyi kazi umelala unategemea uletewe hela imekula kwako
Ukiambiwa Uchumi Wa Nchi Mbovu Unafikr Wanamaanisha Wakina Bakhresa Na Mengi Hawana Pesa Au Hawafanyi Kazi Kwanza Wewe Mwanauchumi Gani Usiejali Muda Asubuh Hii Upo Jf Unapiga Porojo Mjinga Utamjua Tu Kwa Kujisifu Anacho Wakat Hata Chai Kunywa Tatizo.