Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
- Thread starter
- #21
I see, vizuri sana wapo wapi hawa ndugu zangu Sharif na Fatma? , nilisoma nao pale Boma Primary School.
Mkuu Sharifu alioga kisha akanya Ruvu kwahiyo hawezi kwenda popote yupo tu Korogwe, Malau pia amerudi baada ya kuhangaika sana kimaisha na mimi nilikuwa huko 2006 lakini nimerudi town napigana kimaisha si unajua tena!