Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Eng. Nsiande naona wewe ni miongoni mwa engineers ambao either mnadanganyika kirahisi au ni white colar engineers ambao mnasubiri taarifa tu from your technicians. Ninayo taarifa ya ubungo gas plant, plant haipo kwenye maintenance now, plant ile haiwezi kuwa under maintenance yote. Ni one or two engines at a time with total capacity 16 MW. Pale kuna 12 engines, the same to Tegeta ni 45 MW na kuna 5 engines zinatembea. Fanya utafiti mdogo kama upo hapo makao makuu chungulia tu dirishani utaona namba of engines zinatembea hapo Ubungo gas plant.
Allow me to laugh..those 12 engines ...generate only 11 each, 3engines are out..Mhandisi Nsiande