Codon
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 628
- 93
Wana Jf nisaidieni mgao gani unakuwa Asubuhi then mnarudishiwa 1hr mnakatiwa masaa mengine 8!Naniline moja tu(Nodic)!Wasio ifahamu inanzia pale kimara bucha upande wakushoto kama unatoka mjini mpaka karibu na kibamba,pia ikifika kimara mwisho inaanza kula pande zote mbili ndio inaenda mpaka maeneo machache yakibamba!Jamaa watanesco wanakata sana hii line sijui haina watu wakubwa?Tumechoka sasa.