Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Ndugu zangu wanajf, poleni sana kwa msiba wa mwanajf mwenzetu na mbunge Regia Mtema (RIP).
Pamoja na majonzi tuliyonayo, napenda niwasilishe sikitiko langu juu ya huduma za Tanesco. Tuliambiwa mgao umekwisha, lakini kila siku umeme unakatwa saa mbili usiku au siku nzima. Najiuliza mabwawa hayajajaa? Hivi kwanini hili shirika lisifutwe tu ili tuanzishe mamlaka itakayosimamia utoaji wa umeme kupitia mashirika binafsi? Kwangu mimi Tanesco ni moja ya vyanzo vikuu vya umaskini wa Tanzania.
Pamoja na majonzi tuliyonayo, napenda niwasilishe sikitiko langu juu ya huduma za Tanesco. Tuliambiwa mgao umekwisha, lakini kila siku umeme unakatwa saa mbili usiku au siku nzima. Najiuliza mabwawa hayajajaa? Hivi kwanini hili shirika lisifutwe tu ili tuanzishe mamlaka itakayosimamia utoaji wa umeme kupitia mashirika binafsi? Kwangu mimi Tanesco ni moja ya vyanzo vikuu vya umaskini wa Tanzania.