boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,989
- 1,033
Isome vizuri hiyo barua au umepita dryKwa hiyo kutokana na hiyo barua, tanesco wanalivunja jengo la kampuni nyingine?
Isome vizuri hiyo barua au umepita dryKwa hiyo kutokana na hiyo barua, tanesco wanalivunja jengo la kampuni nyingine?
Isome vizuri hiyo barua au umepita dry
Unalijua vizuri hilo jengo? Huwezi libomoa nusu hata siku moja kwanza hapo hakuna tofari hata moja ni zimesukwa nondo na zege kali mwanzo mwisho ukitingisha upande mmoja umesha weaken na upande mwingineJengo linabomolewa la mbele tu la nyuma linabaki na patapendeza worry out.
Jumlisha na pesa ya kubomolea hapo, alafu hilo jengo kwa sasa thamani yake ni zaidi ya bilioni 20Linabomolewa jengo lenye thamani ya zaidi ya Bilioni 20 alafu tunajisifu eti tunabana matumizi! Kwa nini busara ya ku- diverge hill eneo lisiozidi hata KM kwa kutanua upande was PILI hata kwa kulipa fidia isiyozidi hata bilioni tano
Kwahiyo waliache liwepo tukose flyover km wataalam wamesema no alternative?
Kwahiyo unashauri flyover isijengwe? Kwa sababu maengineer wa mradi ndio wakiomuomba nafasi hiyo baada ya kukosa alternative ikigundulika kungekuwa na alternative watalaumiwa wataalam sio rais.
Wajenge kwa sababu IPI; serikali inamajengo mengi ya wizara zinazohamia Dodoma.Halafu wajenge tena kwa kodi zetu?? Huu ni upumbavu mkubwa
Unasikia bila kuwa na uhakika. Umesoma vizuri taarifa yao kweli.Nilisika mitambo inayotoa huduma ya luku upo pale kwa hiyo wasijetulaza na giza maana ni kazi kubwa kuamisha mitambo bila kuleta itirafu kidogo
mmiliki ni nani?Kwani lile Jengo lilikuwa la Tanesco au Lilikuwa limekodishwa na Tanesco.. Kwa kifupi Mwenye Umiliki wa Jengo lile siyo Tanesco Tanesco wanalipa Kodi hicho kilimuuzi Mkuu tangu akiwa Waziri...
mwenye jengo hana jina?Alikuwa amekodi kwa Mwenye Jengo ambayo kwa taarifa za kunyapia nyapia siyo Goverment...
Unajua ulichoandika? Watu wapo UDOM chuoni acha mambo ya ajabuWajenge kwa sababu IPI; serikali inamajengo mengi ya wizara zinazohamia Dodoma.
Kuna watu tumewalenga lazima ile kwao sasa bila kufata usawa wa hili jengo tukilikwepa huko mbele watalalamika kwa nn mmelikwepa jengo!
PPFmwenye jengo hana jina?