Wakuu,baada ya CHADEMA kutangaza kufanya mkutano wa kihistoria jijini Mwanza leo tarehe 22/07/2015 saa 8 mchana.TANESCO wamekata umeme kanda ya ziwa tangu asubuhi mpaka sasa hivi.Je,hiyo ndiyo dawa ya CCM kuua upinzani kanda ya ziwa?
Wapuuzi hao wanatumika.Kwasasa ni ngumu mno kuzuia wimbi la mabadiliko lililopo.Naichukia sana ccm.
Sio Ukanda wa ziwa tu,hata Moshi giza.
Narudia tena uongo ni dhambi, Tv zote sasa hivi ziko hewani na matangazo ya vituo yanaendelea kama kawaida! ITV na Star Tv Sasa hivi kuna FILAMU!!!
Jenereta pia zimechukuliwa na CCM?
wakuu,baada ya chadema kutangaza kufanya mkutano wa kihistoria jijini mwanza leo tarehe 22/07/2015 saa 8 mchana.tanesco wamekata umeme kanda ya ziwa tangu asubuhi mpaka sasa hivi.je,hiyo ndiyo dawa ya ccm kuua upinzani kanda ya ziwa?
sasa mkuu kwani yeye amesema kuwa tv haziko hewani?!!! anacholalamikia ni kuwa uko alipo hakuna umeme. Sasa wewe unakurupuka na habari za kuwa tv zote zipo hewani!!!
hayo matengenezo ya njia kuu yanafanyika pale tu CHADEMA wakiwa na mikutano! CCM wala hakuna matengenezo acheni hizo!Nenda katoe taarifa customer care Kituo cha karibu, halafu Kwani hayo matangazo ya Live hao Star Tv na Itv hapo ground wanategemea umeme wa Tanesco tu? si wana standby Generator? Tutaona huku kwa niaba yenu kama kuna marekebisho ya Njia kuu za umeme waache kisa CDM inafanya mikutano acheni hizo!
Hata Tanga wamekata maeneo mengi sana!
Na huku Pwani hakuna umeme nako pia kuna mkutano wa Chadema? acheni kuweweseka nyie misukule ya Mtei.
lazima faulo zenu ziwekwe peupe. Tutanunua airTIME live yote iludiwe harafu mkate tena umemeHuu uzi upo humu kuna mtu kauleta na umefika mbali sana!Mkuu nenda Tanesco ukatoe taarifa sisi sio mafundi wa umeme!