Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Salaam wanajF,
Neno tanesco limekua likitajwa sana Midomoni mwa watu kama lilivo neno "MAISHA MAGUMU''.
Ni vigumu kulifanya liondoke kwa mara moja,ila nashauri jambo moja,kama ilivokuwa kwa shirika la TTCL,lilikua na Nyodo na sumbufu kama Tanesco,lakini baada ya makampuni binafsi kuruhusiwa kutoa huduma iyo Leo hii TCCl ipo wapi?
My take:waruhusu makampuni binafsi yazalishe umeme ili Tuisahau Tanesco kama tulivyo isahau TCCL.
Neno tanesco limekua likitajwa sana Midomoni mwa watu kama lilivo neno "MAISHA MAGUMU''.
Ni vigumu kulifanya liondoke kwa mara moja,ila nashauri jambo moja,kama ilivokuwa kwa shirika la TTCL,lilikua na Nyodo na sumbufu kama Tanesco,lakini baada ya makampuni binafsi kuruhusiwa kutoa huduma iyo Leo hii TCCl ipo wapi?
My take:waruhusu makampuni binafsi yazalishe umeme ili Tuisahau Tanesco kama tulivyo isahau TCCL.