Utendaji mbovu wa Shirika la TANESCO: Kwanini nisubiri zaidi ya miezi 6 kuunganishiwa umeme ulio mlangoni kwangu Gongo la Mboto?

Enemax

New Member
Jan 22, 2021
1
7
Katika juhudi za kuboresha uchumi, upatikanaji wa nishati ni muhimu sana.

Ila kama pia usambazaji wa nishati utalega tunaweza tusipate matokeo tarajiwa.

Mimi ni mkazi wa Ukonga, Imepita miezi 6 tangu nimalize mchakato wote wa kupata umeme, yaani kufanya e/wiring kwangu, maombi, survey, wakatoa ripoti, inahitajika nguzo moja, wakanipa control number, nikalipia. Almost 600,000TSH. Tangia mwaka jana August nimekuwa nikifuatilia Gongo la Mboto mpaka kuonana na Meneja ili nijue tatizo kwa nini hawajaja kuunganisha umeme bila mafanikio, danadana nyingi, uongo uongo mwingi, mwisho nenda tutashughulikia na hawashughulikii.

Je, kwa hali hii, mtu kuunganishiwa umeme uliopita 105m kutoka kwake TANESCO inachukua zaidi ya miezi sita, uchumi wa kati tutatoboa kweli, hili kwa kweli ni swali kwa Waziri wa nishati.

Mimi nafikiri kuna umuhimu wa kulivunja hili shirika ili kuongeza ufanisi wa huduma za nishati au kuhusisha mashirika binafsi kwa kiwango kikubwa katika shughuli wanazoweza kufanya. Mfano: kwa sasa hatupati shida kwenye suala la kuunganishiwa mawasiliano ya simu kwa sababu TTCL wana washindani, ila kipindi wakiwa wenyewe walikuwa na ukiritimba mwingi kama huu wa TANESCO

Kuna harufu kubwa ya rushwa hapa, hasa hapa branch la TANESCO Gongo la Mboto, watu wanacheleweshewa huduma kwa makusudi ili waingie mfukoni kutoa rushwa, Nashauri PCCB wamulike eneo hili.

TANESCO wafanye kazi zao, kwa nini nilipe laki sita kuunganishiwa umeme na nisubiri zaidi ya miezi 6, hiyo fedha ningekuwa nimeitumia kwa biashara ningekuwa na bakaa fulani ya kunitoa mwaka 2021, kuna umuhimu wa kuwa na mkataba kwa wateja, yaani ndani ya muda gani mteja atakuwa ameunganishiwa umeme, iwapo watavuka muda huo kuwe na hatua madhubuti za kumlinda mteja kwa uonevu huo.
 
Katika juhudi za kuboresha uchumi, upatikanaji wa nishati ni muhimu sana.

Ila kama pia usambazaji wa nishati utalega tunaweza tusipate matokeo tarajiwa.

Mimi ni mkazi wa Ukonga, Imepita miezi 6 tangu nimalize mchakato wote wa kupata umeme, yaani kufanya e/wiring kwangu, maombi, survey, wakatoa ripoti, inahitajika nguzo moja, wakanipa control number, nikalipia. Almost 600,000TSH. Tangia mwaka jana August nimekuwa nikifuatilia Gongo la Mboto mpaka kuonana na Meneja ili nijue tatizo kwa nini hawajaja kuunganisha umeme bila mafanikio, danadana nyingi, uongo uongo mwingi, mwisho nenda tutashughulikia na hawashughulikii.

Je, kwa hali hii, mtu kuunganishiwa umeme uliopita 105m kutoka kwake TANESCO inachukua zaidi ya miezi sita, uchumi wa kati tutatoboa kweli, hili kwa kweli ni swali kwa Waziri wa nishati.

Mimi nafikiri kuna umuhimu wa kulivunja hili shirika ili kuongeza ufanisi wa huduma za nishati au kuhusisha mashirika binafsi kwa kiwango kikubwa katika shughuli wanazoweza kufanya. Mfano: kwa sasa hatupati shida kwenye suala la kuunganishiwa mawasiliano ya simu kwa sababu TTCL wana washindani, ila kipindi wakiwa wenyewe walikuwa na ukiritimba mwingi kama huu wa TANESCO

Kuna harufu kubwa ya rushwa hapa, hasa hapa branch la TANESCO Gongo la Mboto, watu wanacheleweshewa huduma kwa makusudi ili waingie mfukoni kutoa rushwa, Nashauri PCCB wamulike eneo hili.

TANESCO wafanye kazi zao, kwa nini nilipe laki sita kuunganishiwa umeme na nisubiri zaidi ya miezi 6, hiyo fedha ningekuwa nimeitumia kwa biashara ningekuwa na bakaa fulani ya kunitoa mwaka 2021, kuna umuhimu wa kuwa na mkataba kwa wateja, yaani ndani ya muda gani mteja atakuwa ameunganishiwa umeme, iwapo watavuka muda huo kuwe na hatua madhubuti za kumlinda mteja kwa uonevu huo.
Tunashukuru sana kwa taarifa

Tafadhali onyesha

Jina

Namba ya simu uliyoandika wakati unaomba umeme au namba ya fomu ipo pale juu kulia mwa form yako kwa hatua zaidi
 
Katika juhudi za kuboresha uchumi, upatikanaji wa nishati ni muhimu sana.

Ila kama pia usambazaji wa nishati utalega tunaweza tusipate matokeo tarajiwa.

Mimi ni mkazi wa Ukonga, Imepita miezi 6 tangu nimalize mchakato wote wa kupata umeme, yaani kufanya e/wiring kwangu, maombi, survey, wakatoa ripoti, inahitajika nguzo moja, wakanipa control number, nikalipia. Almost 600,000TSH. Tangia mwaka jana August nimekuwa nikifuatilia Gongo la Mboto mpaka kuonana na Meneja ili nijue tatizo kwa nini hawajaja kuunganisha umeme bila mafanikio, danadana nyingi, uongo uongo mwingi, mwisho nenda tutashughulikia na hawashughulikii.

Je, kwa hali hii, mtu kuunganishiwa umeme uliopita 105m kutoka kwake TANESCO inachukua zaidi ya miezi sita, uchumi wa kati tutatoboa kweli, hili kwa kweli ni swali kwa Waziri wa nishati.

Mimi nafikiri kuna umuhimu wa kulivunja hili shirika ili kuongeza ufanisi wa huduma za nishati au kuhusisha mashirika binafsi kwa kiwango kikubwa katika shughuli wanazoweza kufanya. Mfano: kwa sasa hatupati shida kwenye suala la kuunganishiwa mawasiliano ya simu kwa sababu TTCL wana washindani, ila kipindi wakiwa wenyewe walikuwa na ukiritimba mwingi kama huu wa TANESCO

Kuna harufu kubwa ya rushwa hapa, hasa hapa branch la TANESCO Gongo la Mboto, watu wanacheleweshewa huduma kwa makusudi ili waingie mfukoni kutoa rushwa, Nashauri PCCB wamulike eneo hili.

TANESCO wafanye kazi zao, kwa nini nilipe laki sita kuunganishiwa umeme na nisubiri zaidi ya miezi 6, hiyo fedha ningekuwa nimeitumia kwa biashara ningekuwa na bakaa fulani ya kunitoa mwaka 2021, kuna umuhimu wa kuwa na mkataba kwa wateja, yaani ndani ya muda gani mteja atakuwa ameunganishiwa umeme, iwapo watavuka muda huo kuwe na hatua madhubuti za kumlinda mteja kwa uonevu huo.
Mimi ni muhanga pia hapa Tabora Mjini
 
tanesco gongo la mboto ni shida niliomba kufanyiwa survey nikaambiwa baada ya wiki mbili ilipita miezi miwili nikapiga simu nikapewa namba ya bwana mmoja anaitwa zepha mbunda kila nikimpigia ananiambia watakuja ila hawajawahi kuja nimeambiwa pale nje kuna (vishoka) vibanda ukitaka huduma inabidi uongee na wale wenye vibanda kisha wakuunganishe na wahusika ila ukisubiri ahadi zao utakesha hiyo ni ya kufumuliwa yote mnatutesa
 
tanesco gongo la mboto ni shida niliomba kufanyiwa survey nikaambiwa baada ya wiki mbili ilipita miezi miwili nikapiga simu nikapewa namba ya bwana mmoja anaitwa zepha mbunda kila nikimpigia ananiambia watakuja ila hawajawahi kuja nimeambiwa pale nje kuna (vishoka) vibanda ukitaka huduma inabidi uongee na wale wenye vibanda kisha wakuunganishe na wahusika ila ukisubiri ahadi zao utakesha hiyo ni ya kufumuliwa yote mnatutesa
Tuwekee taarifa kamili

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini
 
Haahaaaha hawa jamaa kuna baadhi ya watendaji wao ni hovyo sana,utakuta upo eneo transformer imepata hitirafu ukiwataarifu wanakaa kimya kama wiki hivi ndo wanakuja aisee tena afadhali huu Uzi umekuja Leo maana hapa nilipo toka JUMANNE iliyopita transformer ilijizima ndo Jana jioni wakaja tengeneza siku zote hizo tupo giza,
TANESCO tunaomba muwe mna wahi eneo la tukio bila hivyo mtafanya wananchi wawachukie kwa ukilitimba wenu!


Povu ruksa dadeq!
 
tunachokifanya hapa kinaitwa whistle blowing siyo ila mtoa taarifa anapenda kujulikana hapa tumeshawapa pa kuanzia ni swala la nyie wenyewe kujifanyia tathmini kila meneja aitishe mafaili yaliyokaa muda mrefu na ahakikishe yanafanyiwa kazi na siyo unihudumie mimi kwa sababu nimepaza sauti bali badilisheni mfumo wenu wa huduma….ushaambiwa bila kuwaona wale vishoka hupati huduma unataka jina la nini sasa
 
Haahaaaha hawa jamaa kuna baadhi ya watendaji wao ni hovyo sana,utakuta upo eneo transformer imepata hitirafu ukiwataarifu wanakaa kimya kama wiki hivi ndo wanakuja aisee tena afadhali huu Uzi umekuja Leo maana hapa nilipo toka JUMANNE iliyopita transformer ilijizima ndo Jana jioni wakaja tengeneza siku zote hizo tupo giza,
TANESCO tunaomba muwe mna wahi eneo la tukio bila hivyo mtafanya wananchi wawachukie kwa ukilitimba wenu!


Povu ruksa dadeq!
Tunaomba radhi kwa hili mkuu wetu
 
tunachokifanya hapa kinaitwa whistle blowing siyo ila mtoa taarifa anapenda kujulikana hapa tumeshawapa pa kuanzia ni swala la nyie wenyewe kujifanyia tathmini kila meneja aitishe mafaili yaliyokaa muda mrefu na ahakikishe yanafanyiwa kazi na siyo unihudumie mimi kwa sababu nimepaza sauti bali badilisheni mfumo wenu wa huduma….ushaambiwa bila kuwaona wale vishoka hupati huduma unataka jina la nini sasa
Tuma inbox tafadhali kwani lengo la kulalamika ni kuhudumiwa na ili uhudumiwe toa taarifa kamili tafadhali
 
Mbona mimi niliunganishiwa haraka sana.

Fuatilia hata hapa JF Tanesco wapo. Watakuhudumia. Kuna wengine wahuni ila kuna baadhi ya wafanyakazi ni waaminifu pia wanafanya kazi zao kikamilifu
 
Mbona mimi niliunganishiwa haraka sana.

Fuatilia hata hapa JF Tanesco wapo. Watakuhudumia. Kuna wengine wahuni ila kuna baadhi ya wafanyakazi ni waaminifu pia wanafanya kazi zao kikamilifu
Ahsante kwa ushuhuda wako

Tafadhali tusaidieni taarifa kamili tupo kuwahudumia
 
Kaka mimi niliombwa rushwa,

Ila nilivyokuja humu JF na kulalamika kwenye uzi maalumu wa Tanesco, nkaambiwa nitume taarifa inbox, hazikupita siku 3 wakaja kuniingizia umeme huku wamenuna..

Siwezi nikafanya wiring ,nkalioa 320000, alafu nitoe rushwa wakati huohuo nkiingiziwa umeme nianze kuwachangia watu wa vijijini(REA) kila nikinunua umeme wakati hata siwajui.. alafu kuingiza iwe tabu hivyo...
 
Kaka mimi niliombwa rushwa,

Ila nilivyokuja humu JF na kulalamika kwenye uzi maalumu wa Tanesco, nkaambiwa nitume taarifa inbox, hazikupita siku 3 wakaja kuniingizia umeme huku wamenuna..

Siwezi nikafanya wiring ,nkalioa 320000, alafu nitoe rushwa wakati huohuo nkiingiziwa umeme nianze kuwachangia watu wa vijijini(REA) kila nikinunua umeme wakati hata siwajui.. alafu kuingiza iwe tabu hivyo...
Tunashukuru kwa mrejesho ni vema haukutoa rushwa wewe ni mteja mzalendo
 
Back
Top Bottom