KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Tanesco mnakera na mitambo yenu hakuna kitu kinakera kama unaenda kununua umeme unaambiwa network akh!hakuna sehemu tanesco wapo imara kuanzia kwenye menejimenti hadi vitendea kazi network liwe tatizo kwanini msiupgrade device zenu?ili tatizo la network liishe?