Igangilonga
Senior Member
- Mar 11, 2006
- 133
- 27
Badra Masoud funguka mdada, tuambie wananchi kama mgao kwishnei au ni aje maana tunaona siku hizi umeme hatukatiwi....Ndo kusema bwawa Mtera limeshajaa au huu umeme watokea wapi??!!
Badra Masoud funguka mdada, tuambie wananchi kama mgao kwishnei au ni aje maana tunaona siku hizi umeme hatukatiwi....Ndo kusema bwawa Mtera limeshajaa au huu umeme watokea wapi??!!
Wanataka watupooze.ili bajeti ipite then waeendelee kuukata.