Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Nimekuelewa.Ila,huu ulikuwa ni ushauri wa IMF kwenye kubinafshisha hili shirika.Itakuwa rahisi kuinvest kwenye generation,transmission itakuwa vigumu kwani miundombinu ya tanesco ni ya kizee na hii uharibu efficciency ya generation kwani umeme hupotea kiasi fulani during transmission.Kama hii nik kweli itakuwa ni jambo zuri maana litanesco ni likubwa mno kisi kwamba ufanisi inakuwa kitendawili sometimes. Na kwa muundo huu ina maana utapeli utakuwa kiasi flani limited!
Distribution,hii nayo ni kazi kwani kuna political economic issues ambazo inabidi zifanyiwe kazi na hii haivutii uwekezaji.
MY VIEW
Holly sh*t we are srewed!!!