dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Jamani mimi Mtanganyika kazi yenyewe hii ya uwalimu bili imekuja toka 23,000 hadi 39,879/= si tunakoelekea jamani ni kukaa gizani kwa sie tusio kuwa nacho?
Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32
Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??
Na naona wanashindana na wa maji maana nayo imetoka 8,467.43 hadi 31,546.32
Y jamani ????? Kwa nini???? Na matumizi ni yale yale niko bachelor je nikiwa na familia??