Steve Dii JF-Expert Member Jun 25, 2007 6,402 1,254 Dec 28, 2011 #1 Mafedhuli wakubwa ninyi... mnakata na kurudisha kisha kukata tena iliweje sasa??? Kama siyo kutuunguzia vifaa vyetu.... Nyambafuuuuu!!!
Mafedhuli wakubwa ninyi... mnakata na kurudisha kisha kukata tena iliweje sasa??? Kama siyo kutuunguzia vifaa vyetu.... Nyambafuuuuu!!!
G Geka Senior Member Aug 1, 2011 176 39 Dec 28, 2011 #2 Huku Kigamboni imekuwa ni kero, yaani utafikiri profesheno beeper
LEGE JF-Expert Member Oct 14, 2011 5,123 9,168 Dec 28, 2011 #3 Vip mshakatiwa tena nin?? Auwasha kuunguzia??
Kipis JF-Expert Member Jul 23, 2011 492 61 Dec 29, 2011 #4 Halafu mwezi ujao wanapandisha bei ya umeme huduma zenyewe masaburi!