Tamu na chungu baada ya kujiunga na forever living products

Hizi biashara hubatana na brainwashing ya hali ya juu ambayo inawafanya hao watu wajione matajiri kimawazo wakati ni maskini WA kutupwa matokeo yake ni haya.
1. Kushindwa kufanya shughuli za maana za kimaendeleo
2.kushindwa kuwa na mda WA kuhudumia familia hasa akina mama kukosa mpangilio WA maisha na muda.
3.Kutumia hata kidogo wanachokipata kutaka kujionyesha kwamba mambo ni saafi badaya ya kufikiria kuwekeza.
4.Kuwa too hyped na kukosa utulivu WA fikra, maneno na mawazo na hata wengine kudanganyika kuacha shughuli au kazi zao
5.Kuharibu mahusiano na ndugu au wenza kwa kuwaongiza chaka.
6..Kuwa tapeli na kukosa rational thinking kutokana na too much defence ya wanchoamini kuhusu biashara,hawakubali ushauri hata ule WA wazi kabisa.
7 . Stress na kuwa mtumwa WA biashara na kupata mashinkkizo kutoka kwa upliners.
8.kutumia uongo kupata wateja wapya kama kuhusu kipato anachopata na mafanikio aliyonayo au hata kutumia picha za uongo za vitu kama majumba ya kifahari na magari ya kifahari.
9.Kujiingiza kwenye madeni makubwa na kushindwa kulipa.
 
unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume
 
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.

Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu

1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara

2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza

3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga

_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka

_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu

4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M

5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi

6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii

_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi

_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii

_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii

7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii

_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka

8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho

9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi

_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi

- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume

10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu

- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.

11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao

11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi

_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia

12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)

_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache

SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu

_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.

USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA

_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi

_ Hakuna pesa za kudownload
Bora kujiunga na BF Suma kuliko nyie Forever Living maisha
 
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.

Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu

1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara

2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza

3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga

_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka

_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu

4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M

5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi😂😂

6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii

_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi

_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii

_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii

7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii

_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka

8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho

9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi

_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi

- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume

10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu

- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.

11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao

11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi

_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia

12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)

_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache

SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu

_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.

USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA

_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi

_ Hakuna pesa za kudownload
vipi kuhusu GNLD?
 
Nadhani pia ishu sio tu uwezo wa kuongea sana, ishu unaongea na watu gani? Kama wewe umezungukwa na walala hoi hata uongee kutwa kucha ni kazi bure!

Mimi kuna rafiki yangu alikua anafanya hizi biashara, siku hiyo kaniletea boksi la majani ya chai (green tea nadhani) ananiambia shilingi 60,000. Mi nikipiga mahesabu majani ya chai dukani boksi nanunua 3,000 nikamfurusha! Hizi bidhaa ni ghali sana kwa mtu wa kawaida kununua.

Mwisho kingine kinacholeta ugumu ni mtindo wetu wa maisha wabongo kwamba mtu kutumia dawa ni mpaka awe anaumwa hoi, hatuna utamaduni wa kutumia supplements so inakua ni ngumu sana kumshawishi mtu anunue dawa wakati haumwi.
Ni kweli kabisa, ila biashara hii haitegemei Sana watu wako wa karibu

Inatakiwa uwe unatumia matangazo ya kulipia
 
Jamaa yupo sahihi. FLP ni ponzi iliyojificha kwenye bidhaa hizo. Haina tofauti na deci. Ukishaoina faida yako inatokana na kuingiza watu jua upo kwenye upatu.
Faida ipo kwa namna 2

1. Kuuza bidhaa
2. Kuingiza watu

Binafsi swala la kuingiza watu kulikuwa kipengele, sijawahi na siwezi.

Kwanza nilikuwa nawaonea huruma incase wasipofanikiwa watanichukuliaje?
 
Back
Top Bottom