Tamu na chungu baada ya kujiunga na forever living products

Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.

Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu

1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara

2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza

3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga

_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka

_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu

4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M

5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi😂😂

6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii

_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi

_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii

_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii

7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii

_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka

8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho

9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi

_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi

- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume

10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu

- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.

11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao

11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi

_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia

12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)

_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache

SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu

_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.

USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA

_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi

_ Hakuna pesa za kudownload
Biashara hii inatakiwa uifanye kwa watu wenye uwezo sio uswahilini, na ili uifanye kwa wenye uwezo lazima ufanane nao ili wakuamini.
 
ila sio lazima ununue bidhaa, unaweza unatafuta mteja kwanza ukimpata ndio ukanunua kwa pesa yake


Kipengele kumpata Sasa, na Kama ukiweza kuwapata mwanzoni basi hata huko mbele kutoboa ni simple tu
Kama unanunua bidhaa ambazo haziuziki, tafsiri yake ni kuwa FLP wanaoverprice hizo bidhaa, na hapo ndio wanapotajirikia na kukufanya wewe uwe mtumwa wa kuleta mteja mwingine ili wao wanufaike zaidi, huku wewe ukipozwa machungu kwa pesa kidogo ya kamisheni. Kama nimeelewa sasa.
 
Tatizo la JF kila mtu mjuaji sana

Kuna sehemu nimeandika natafuta downline??

Nimejaribu kutoa experience yangu kuhusu FLP

Binafsi nimepoteza pesa hili sifichi, na nimepoteza muda wangu


Ila sitokuja kusema forever ni utapeli au forever ni umachinga (huo ni uongo)

Ninachoweza kusema ni kwamba sijaweza kuimaster hii biashara, nimeshindwa ila Kuna watu wanauza products kila siku

Ukitaka ujue watu wanafanya hii biashara serious, tarehe 29,30,31 nenda pale ofisini kwao makumbusho uone watu wanavyojaa kufunga mwezi
Hili neno "bidhaa" ama "product" linatakiwa kutolewa elimu yenye ufanisi ya kutosha.

Hata wewe mleta mada haujaanika mtiririko wa aina ya bidhaa hizo, ndiyo maana watu wanakuwa na mashaka na wewe pia.

Je bidhaa hizo zinatengenezwa wapi, zinatumikaje, kwa nini ziwe na bei kubwa kupindukia, nk nk?

Hivi kweli kila mtu katika jamii ana uwezo wa kushawishi mteja mnunuzi na kutengeneza profit?

Kungelikiwa na uwazi katika maswali niliyoorodhesha, pengine pasingelikuwa na mtu wa kuweza kushawishika na kuingia kichwa kichwa.

Kutokana na changamoto za kupata wateja na kauli zinazotumika kusarandia wateja, ndiyo maana watu huona na kuconclude kuwa kampuni hiyo ni ya kitapeli 100%.
 
Biashara hii inatakiwa uifanye kwa watu wenye uwezo sio uswahilini, na ili uifanye kwa wenye uwezo lazima ufanane nao ili wakuamini.
Shid
Biashara hii inatakiwa uifanye kwa watu wenye uwezo sio uswahilini, na ili uifanye kwa wenye uwezo lazima ufanane nao ili wakuamini.
Ni kweli kabisa, ni ngumu kumuuzia mtu product ya laki 2 bila kukufahamu
 
Kama unanunua bidhaa ambazo haziuziki, tafsiri yake ni kuwa FLP wanaoverprice hizo bidhaa, na hapo ndio wanapotajirikia na kukufanya wewe uwe mtumwa wa kuleta mteja mwingine ili wao wanufaike zaidi, huku wewe ukipozwa machungu kwa pesa kidogo ya kamisheni. Kama nimeelewa sasa.
Shida ni kwamba hizi products zinatoka Marekani, na kampuni inauza kwa dollars

Shida pesa yetu haina thamani mwisho inaonekana zina Bei kubwa

Kuhusu faida, faida ni kubwa tu

Faida sio ishu, ishu ni kuuza
 
Hili neno "bidhaa" ama "product" linatakiwa kutolewa elimu yenye ufanisi ya kutosha.

Hata wewe mleta mada haujaanika mtiririko wa aina ya bidhaa hizo, ndiyo maana watu wanakuwa na mashaka na wewe pia.

Je bidhaa hizo zinatengenezwa wapi, zinatumikaje, kwa nini ziwe na bei kubwa kupindukia, nk nk?

Hivi kweli kila mtu katika jamii ana uwezo wa kushawishi mteja mnunuzi na kutengeneza profit?

Kungelikiwa na uwazi katika maswali niliyoorodhesha, pengine pasingelikuwa na mtu wa kuweza kushawishika na kuingia kichwa kichwa.

Kutokana na changamoto za kupata wateja na kauli zinazotumika kusarandia wateja, ndiyo maana watu huona na kuconclude kuwa kampuni hiyo ni ya kitapeli 100%.
Majibu ya hayo maswali ni Hadi mtu atake kufahamu

Hauwezi kuconclude utapeli wakati hujui hapo utakuwa umbumbumbu


In short Kuna vitabu vyao vinaelezea hayo yote
 
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.

Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu

1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara

2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza

3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga

_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka

_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu

4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M

5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi

6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii

_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi

_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii

_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii

7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii

_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka

8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho

9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi

_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi

- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume

10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu

- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.

11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao

11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi

_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia

12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)

_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache

SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu

_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.

USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA

_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi

_ Hakuna pesa za kudownload
Haina tofauti na wale vijana wanaovaa tai huku wamebeba bidhaa kibao, wanatembeza barabarani,
Ni kazi ya kitumwa sana, kama wanataka kuuza sana kwanini wasitangaze kwenye vyombo vya habari?
 
Kweli katika watu wanne mmoja ni tahira

Inaonekana wewe ni mmoja wapo

Hakuna sehemu nimeandika namtaka mtu na nimeshasema nimeacha kufanya biashara hii na sababu nimetoa
Acha lugha za mstusi.

Katangaze biashara hii kwenu.

Mimi sitaki kusikia habari za Flp
 
Hiyo ni ponzi kama ponzi nyinginezo. Hawana tofauti na Deci. Kinachofanyika uli kuficha udeci wao ni kuingiza product katikati. Matapeli wengi wa pyramid schemes huingiza bidhaa katikati ili waonekane ni biashara ya kuuza na kununua. WNW(Wajinga ndiyo waliwao)
 
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.

Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu

1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara

2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza

3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga

_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka

_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu

4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M

5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi

6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii

_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi

_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii

_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii

7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii

_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka

8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho

9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi

_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi

- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume

10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu

- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.

11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao

11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi

_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia

12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)

_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache

SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu

_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.

USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA

_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi

_ Hakuna pesa za kudownload
Hapo kwenye kuongea sana ndio point kuu! Hiyo biashara ili ufanikiwe unatakiwa uwe mtu wa watu yaani dzain ya mtu ambae ukihamia sehemu ndani ya wiki mbili watu wote mtaani wanakujua kutokana na uchangamfu wako na ku mingle na watu wa aina mbalimbali

Cha kusikitisha sio watu wote tumeumbwa na haiba ya namna hiyo. Hii biashara km unajijua ni mtu wa aibu halafu hujiamini usithubutu hta kuisogelea coz lazima utafeli.

Binafsi hii biashara ilinishinda kwa sababu km alizoainisha mleta mada.
 
Haina tofauti na wale vijana wanaovaa tai huku wamebeba bidhaa kibao, wanatembeza barabarani,
Ni kazi ya kitumwa sana, kama wanataka kuuza sana kwanini wasitangaze kwenye vyombo vya habari?
Biashara ya forever haifanyiki hivyo

Sio biashara ya kutembeza

Ni biashara ya kutangaza kwenye mitandao ya kijamii

Yaani unatumia Facebook , Instagram, you tube nk


Unalipia matangazo (ads)

Tangazo lolote ukilikuta Facebook/Instagram limeandikwa " sponsored" ujue dollars zinahusika
 
Hapo kwenye kuongea sana ndio point kuu! Hiyo biashara ili ufanikiwe unatakiwa uwe mtu wa watu yaani dzain ya mtu ambae ukihamia sehemu ndani ya wiki mbili watu wote mtaani wanakujua kutokana na uchangamfu wako na ku mingle na watu wa aina mbalimbali

Cha kusikitisha sio watu wote tumeumbwa na haiba ya namna hiyo. Hii biashara km unajijua ni mtu wa aibu halafu hujiamini usithubutu hta kuisogelea coz lazima utafeli.

Binafsi hii biashara ilinishinda kwa sababu km alizoainisha mleta mada.
😂😂😂😂😂 Hapo umeongea ukweli kabisa

Wale wanaojijua ni maintrovert wasiisogelee kabisa hii biashara
 
Hapo kwenye kuongea sana ndio point kuu! Hiyo biashara ili ufanikiwe unatakiwa uwe mtu wa watu yaani dzain ya mtu ambae ukihamia sehemu ndani ya wiki mbili watu wote mtaani wanakujua kutokana na uchangamfu wako na ku mingle na watu wa aina mbalimbali

Cha kusikitisha sio watu wote tumeumbwa na haiba ya namna hiyo. Hii biashara km unajijua ni mtu wa aibu halafu hujiamini usithubutu hta kuisogelea coz lazima utafeli.

Binafsi hii biashara ilinishinda kwa sababu km alizoainisha mleta mada.
Nadhani pia ishu sio tu uwezo wa kuongea sana, ishu unaongea na watu gani? Kama wewe umezungukwa na walala hoi hata uongee kutwa kucha ni kazi bure!

Mimi kuna rafiki yangu alikua anafanya hizi biashara, siku hiyo kaniletea boksi la majani ya chai (green tea nadhani) ananiambia shilingi 60,000. Mi nikipiga mahesabu majani ya chai dukani boksi nanunua 3,000 nikamfurusha! Hizi bidhaa ni ghali sana kwa mtu wa kawaida kununua.

Mwisho kingine kinacholeta ugumu ni mtindo wetu wa maisha wabongo kwamba mtu kutumia dawa ni mpaka awe anaumwa hoi, hatuna utamaduni wa kutumia supplements so inakua ni ngumu sana kumshawishi mtu anunue dawa wakati haumwi.
 
Habarini za weekend wakuu, leo nimepitia nyuzi mbalimbali zinazohusu forever living products, nikaamua na Mimi niweze kushare kitu kuhusu hii kampuni.

Kwanza nakiri kuwa niliwahi kujiunga na biashara hii na nikadumu kwa miaka miwili tu Kisha nikaacha. Yafuatayo ni miongoni mwa niliyoyapata kuyafahamu

1. FL company sio utapeli
- ni biashara ya mtandao inayojihusisha na uuzaji wa virutubisho lishe (food supplements) ambavyo husaidia kuimarisha afya ya mwili.
_ ni biashara ya kuuza na kununua Kama biashara nyinginezo, juhudi zako na uwezo wako wa kuuza ndio utakupa uhai katika biashara

2. Biashara ya FLP ni biashara inayohitaji elimu kwa kiwango kikubwa
_ Inahitaji uwe msomaji haswa, ujue products Zina nini?? Zinasaidia nini?? na ujue kuziuza

3. Biashara ya FLP Inahitaji muda mwingi kuijenga

_ TOFAUTI na watu wanavyoaminishwa na uplines wao kwamba ukijiunga tu utafanikiwa haraka haraka

_ Hii ni trick tu ya kukutaka uingie haraka bila kujiuliza uliza
_ biashara hii Inahitaji ujipe muda na uzoefu angalau miaka mitatu

4. Bidhaa za FLP ni ghari Sana, unaweza ukakuta Kuna package hadi ya 1M

5. Watu wengi huwa wanajiunga na kushindwa kumaster biashara hiyo
_ watu wengi wanaojiunga kwa kutegemea slope ya kupata pesa hufeli mapema mno na hatimaye kuacha Kama mimi😂😂

6. Kuna watu wengi wamefanikiwa na wanafanikiwa kwa biashara hii

_ ili ufanikiwe unahitajika uwe smart Sana, kujifunza na kufanyia kazi

_ Kuna watu nawafahamu kila mwezi wanapiga 5M+ kwa biashara hii

_ Kuna watu nawafahamu wameacha kazi kwa biashara hii

7. Kuna watu wengi wameumizwa na biashara hii

_ Kuna watu waliojiunga wakatoa gharama ya kuanza kununua products za mwanzo (za kujiunga), Kisha wakalipia matangazo fb (ads), kulipia bando kwa ajili ya matangazo na online meeting, kuhudhuria mikutano nk mwisho wa siku usiuze hata bidhaa moja ndani ya miezi au mwaka

8. 80% ya wanaojiunga na biashara hii huamua kuacha kutokana na kushindwa kumaster biashara hii (Hii no kutokana na data rasmi ambazo nilisikia kutoka kwa viongozi wakubwa kwenye mkutano wao pale Millennium tower - makumbusho

9. Watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu ila hawasemi

_ watu wengi waliofanikiwa kwenye biashara hii wamepitia machungu mengi na changamoto nyingi I'll huwa wanataja upande wa mazuri tu bila kutaja hizo changamoto
10. Bidhaa za forever ni nzuri Sana ila wauzaji wengi hawazijui mwisho mteja huona bidhaa hazifanyi kazi

- wauzaji wengi hulazimisha kuuza hata kwa mtu ambaye anajua haitomsaidia, unakuta mtu ana kisukari anauziwa multimacca ila atibu nguvu za kiume, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea hata kwa miujiza, lazima mtu aweze kudeal na kisukari kwanza (diabete reversion/remission) Kisha ndio aweze kupata nguvu za kiume

10. Bidhaa za FLP sio kwa ajili ya kila mtu

- ni kwa ajili ya watu wanaojali afya zao, watu ambao wanajua umuhimu wa afya zao na wanahitaji kuzipambania kwa gharama yoyote ile.

11. Biashara hii si kwa ajili ya kila mtu
_ Ni kwa ajili ya watu wenye uthubutu, wachapakazi, wavumilivu, wanaoweza kuoambania ndoto zao

11. Ni biashara nzuri, kwani haihitaji movement nyingi

_ Ni swala la kukaa nyumbani tu , mtu anakutumia pesa , unatuma ofisini Kisha wao wanamtumia

12. Unaweza kuifanya pasi na mtaji wa kununua bidhaa
- kinachotakiwa uweze kuuza bidhaa ndani ya miezi miwili (1.3M) ili uweze business owner rasmi (assistant supervisor)

_ Kuna watu wapo sharp wanawapata watu pamoja na kuanza kutengeneza faida ndani ya muda huo (miezi miwili) ila ni wachache

SABUBU ILIYONIFANYA NIACHE
_ Niliingia kwenye biashara nikiwa Sina Shaka kwani mtu aliyeniingiza ni collegemate na mamjua vizuri, na mabadiliko yake ya kiuchumi nayafahamu toka ajiunge na kampuni hii
_ Niliacha kazi hii kwa sababu haikuonesha matunda kwangu

_ To be honest Mimi sio mtu wa kuongea sana, sio mtu wa shobo, sio mtu wa kupend kuwafuatilia fuatilia watu. Mambo yote hayo ni hayaendani na falsafa ya biashara.

USHAURI KWA WANAOHITAJI KUJIUNGA

_ FLP ni biashara hai na ipo hai ila Inahitaji watu smart wanaohitaji kujifunza na kufanya kazi

_ Hakuna pesa za kudownload
Imegombanisha ndugu wengi sana ...maana watu wakiwa desperate kutafuta members wanahamia kuwalagai ndugu zao 🤣🤣
 
Hiyo ni ponzi kama ponzi nyinginezo. Hawana tofauti na Deci. Kinachofanyika uli kuficha udeci wao ni kuingiza product katikati. Matapeli wengi wa pyramid schemes huingiza bidhaa katikati ili waonekane ni biashara ya kuuza na kununua. WNW(Wajinga ndiyo waliwao)
Forever sio utapeli, biashara ambavyo inaendeshwa kwenye nchi 150+

Hivi nchi za Asia na ulaya zinaweza kukubali kufanyiwa utapeli??

Hii sio utapeli sema ni biashara ambayo Inahitaji watu wa kipekee kuimudu

Tofauti na biashara za kawaida (commodity business) hii ni expert business hivyo sio kila mtu anaweza kuifanya
 
Acha lugha za mstusi.

Katangaze biashara hii kwenu.

Mimi sitaki kusikia habari za Flp
Sasa Kama unakuja kuchangia mada kipumbavu unataka nikujibu kistaarabu??


Kuna sehemu nimekulazimisha kujiunga au nimezungumzia kujiunga??

Acha kuja kumalizia stress zako jamii forum
 
Forever sio utapeli, biashara ambavyo inaendeshwa kwenye nchi 150+

Hivi nchi za Asia na ulaya zinaweza kukubali kufanyiwa utapeli??

Hii sio utapeli sema ni biashara ambayo Inahitaji watu wa kipekee kuimudu

Tofauti na biashara za kawaida (commodity business) hii ni expert business hivyo sio kila mtu anaweza kuifanya
Jamaa yupo sahihi. FLP ni ponzi iliyojificha kwenye bidhaa hizo. Haina tofauti na deci. Ukishaoina faida yako inatokana na kuingiza watu jua upo kwenye upatu.
 
Back
Top Bottom