Mtu mnafiki ni mbaya kuliko unayejua kuwa ni adui yako. Ni aheri Rostam kuliko kuliko hawa UVCCM maana huyu tunajua ni adui wa kila mtanzania mnyonge. Viongozi wote wa UVCCM wapo TISS, na hii TISS ndiyo iliyoharibu uchaguzi mkuu wa 2010. UVCCM inaendeshwa kwa ufadhili wa mafisaidi, halafu leo wapinge ufisadi?Mbona wana matusi hivo?
Huyo shigela Dr.Slaa alimchukulia mamake au?
Ndo umoja wa vijana walio "rukwa" akili wa ccm hao kutukana watu ambao ni sawa na wazazi wao?
Au ndo malezi ndani ya chama chao cha mauaji?
...Wao na tamko lao lote wapuuzi tu
statement ya uvccm kisiasa sio mbaya ni nzuri ila wamekosea sana kutumia jazba kwenye suala la chadema.....kama institution hawakutakiwa kutumia lugha ya mitaani,kihuni na matusi ...dhidi ya chadema na slaa wao......maana watasababisha watu wahame kujadili katiba na dowans waingie kujibu tuhuma personal za dr slaa especially kama chadema nao wataamua kumshambulia rais kikwete kwenye mambo yake binafsi...tutahama kabisa kwenye mijadala ya kitaifa!
Na nilikuwa nasoma kuhusu mtu fulani anashauri Chadema vijana(BAVICHA) Lijibu tamko hili.
Ila ushauri wangu ni kuwa watakapo jibu wakae kwenye mstari wa mambo ya msingi kwa sasa,waachane na hizi shutuma za Dr. Slaa kuhusu mambo binafsi kana kufukuzwa kanisani,ndoa n.k. maana ni mbinu ya kisiasa kubadili topic na focus ya watu .
Ni bora tuka focus na kujadili mambo ya msingi kama Dowans na mengineo...watanzania wengi kwa sasa they dont care kuhusu kashfa binafsi ya mtu iwe kweli au uongo..wako concern kupanda kwa gharama za umeme zinazosababishwa na Dowans ,wako concern na kupanda kwa gharama za maisha wakati mishahara haitosholezi still tunataka kulipa watu haraka haraka ...wanafunzi hawapewi mikopo kwa wakati ,bajeti ya mbolea inapotelea kwao wenyewe bils.
Watu wanataka katiba mpya itakayoweza kumwezesha kufanya viongozi kutawala kwa mujibu ya mahitaji ya watanzania.
So tusihame kujadili mambo muhimu ya nchi tushauri na viongozi wetu...
Hawa watu wapuuzi kweli.. sisi tumeyasema ya bodi ya mikopo miaka mitatu iliyopita wao walikuwa wapi? Hilo la Dowans kwanza inaonekana hata hawalielewi kabisa.
bado manachemka sijaona jipya wako miaka mitatu nyumakama hao ndio viongozi wa UVCCM wametoa hilo tamko.... na wanasema walikaa kimya muda mrefu wakitafakari! kazi ipo!!!!