ni mipango ya kusafishana tu hamna zaidi.eh yani wanataka watajwe wamiliki wa richmönd? Richmond si haipo. Yani wanaacha kuöngelea kuwataja wamilik wa dowans, i dont trust them!
Vipi Wozoza mbona unacheka, unajua kuna watu wanafikiri siasa ni lele mama kwamba mtu atakupamba pamba kwa kuuza sura, siasa ni ngumi jiwe watu wanamwagiwa maji ya upupu na kupigwa mabomu unafikiri wamependa haina tofauti na hapa lazima uvumilie otherwise unaachia ngazi.Hahahahaahahah
Kama ni kweli wafuasi wao wenyewe wanaonyesha kutokuridhishwa na mambo yanavyoenda tutafika huko tuendako!
Mkuu, hilo litawezekana mahali pengine sio TanzaniaNiliandika hivi kwenye fb yangu jana:
t just hit me.. President might come out the hero of Dowans saga. I have been wondering what is the meaning of his silence. Then like lightning in the middle of the night; it hit me. What if he would emerge the hero by stopping Dowans payments like what he did with the New Constitution? Brilliant!
Tatizo ni kuwa hali iliyopo ni 'damn if you do and damn if you don't'. Akikubali Dowans walipwe Mwakyembe na Sita ni lazima wajiuzulu. Akisema kuwa wasilipwe AG na Ngeleja lazima nao wajiuzulu.
Hicho kipengele B mmekipitia lakini "MPANGO WA DR. SLAA NA CHADEMA WA KUVURUGA AMANI NA KUFANYA NCHI ISITAWALIKE"
sasa nawaomba rasmi baraza la vijana la chadema (bavicha) walijibu tamko hili la uvccm ndani masaa 48.
Pls mnyika kama unaperuzi sasa hivi jf pls wafikishie ujumbe huu makao makuu, tunasubili majibu ya haraka.
statement ya uvccm kisiasa sio mbaya ni nzuri ila wamekosea sana kutumia jazba kwenye suala la chadema.....kama institution hawakutakiwa kutumia lugha ya mitaani,kihuni na matusi ...dhidi ya chadema na slaa wao......maana watasababisha watu wahame kujadili katiba na dowans waingie kujibu tuhuma personal za dr slaa especially kama chadema nao wataamua kumshambulia rais kikwete kwenye mambo yake binafsi...tutahama kabisa kwenye mijadala ya kitaifa!
Wapuuzi tu hao wanatuchanganya hawawezi kujitenga na baba zao, UVCCM UVCCM wakamweleze Kikwete sio sisi. Sisi tunachapa mwendo watasema watanyamaza nchi tumeshachukua wapenda maendeleo. Harafu mimi nimeona sio watu wanaofikiri kama walivyosema maana wasingemlaumu Dr. Slaa maana hakushika bunduki na kufyatua risasi, sasa hao wanaweza sema 'No research no right to speak'? kwendeni zenu huko