Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

Chadema kila wakati nasema "wanatafuta cheap popularity", walianza na maandamano limeshindikana, wakaja la kugomea dhamana na kulazimisha wananchi wakeshe uwanjani nalo limeshindikana. Sasa wanakuja kivingine kwa kujifanya kwenda ikulu. Upuuzi mtupu.
 
kama familia yako imekushinda ilete kwangu nikusaidie kulea.

Tunajua huwezi kushindwa kuilea tatizo utailea kwa pesa za ufisadi! Nani anataka kulelewa kwa pesa za ufisadi? Kila kona inanuka ufisadi, juzi tu mmebaki kulalama baada ya ripoti ya kamati ya bunge kuhusu jairo na ngeleja wake! Ooh tumechoka kulindana, ooh wawajibishwe. Nani atamwajibisha mwingine wakati magamba yote yameoza kwa ufisadi? Ndio unakuja hapa kujidai uletewe familia ya mtu uilee? Kweli mafisadi hayajifichi!
 
MM tIGO situmiagi bwana, wakameruni nawajua sana ndio mbinu zenu za kujileta! ooh familia yako..ohh imepanda imeshuka kumbe una lako Jambo! aaa!! ukameruni wenu huko huko!

poa. Mungu akujaalie hekima. Akupunguzie akili za kitoto kama hizi. Zinazokufanya ujibu utumbo usioendana na umri wako.
 
Nawashauri chadema, undeni kamati muende mkaombe ushauri kwa mwenyekiti wa Chama tawala.

Nadhani kuna haja ya kufundishwa jinsi ya kuongoza. Kwani hamjitambui.
 
Akiongea baada ya wabunge wa chadema kutoka nje alisema Rais wetu mpendwa "Mtatoka mtaenda mtarudi kwani mimi ndio Rais wenu hamna mwingine wa kumpelekea matatizo yenu ila ni mimi" alisema Rais kikwete. je kwa chama cha demokrasia na maendeleo kuunda kamati ndogo ili kwenda kumuona Rais kikwete je kwanza wamemtambua? je wataacha mchezo wao wa kitoto kutoka bungeni Rais anapohutubia utakoma? je watakubali maneno ya Rais kuwa mtakwenda mtarudi Rais wenu ni mimi?

Kweli kuna watu hata kuitwa waTz inatia shaka, hivi kwa akili yako unafikiri hii takataka kuna mtu mwenye akili timamu atakuunga mkono? Ila subiri uttapata wa aina yako maana wajinga wawezaisha lakini wapumbavu itakuwa ngumu kuwamaliza!
 
Wakiambiwa rais hana nafasi ya kuonana nao kwasababu ratiba yake iko busy mpaka 2014 watafanya nini? Mimi naona hawa wanapoteza muda tu hapa. Inamaana cdm hawajui kuwa yale aliyokuwa anafanya spika na wabunge wa ccm bungeni ni maelekezo ya mkt wa chama chao ambaye ndiye rais wanayetaka kwenda kumuona? Sita shangaa kusikia kuwa hili wazo la kwenda kumuona rais limetolewa na shibuda. Ndg deus kibamba wa jukwaa la katiba hebu tunaomba na wewe utoe muongozo wako, naona hawa cdm wanaanza kukosea hata kabla ya kuanza. Sisi tunataka katiba bora kwa waTZ wote sio katiba ya rais kuwatawala waTZ.
 
Sorry mkuu bad offer to whom Chadema, CCM or to wananchi.

Ni offer ambayo haikustahili kutolewa kutoka CDM kwenda kwa RAis. SAsa Rais akisema hataki kukutana na hiyo Kamati ndogo CDM watafanya nini? Lakini vile vile japo wamejaribu lakini haiwezekani kumtenganisha Rais Kikwete kutoka kwenye Uenyekiti wa CCM. Kwa sababu maamuzi yoyote ambayo atayachukua kama Rais ni lazima yaende kwenye Chama chake!
 
Nahisi CHADEMA wanataka wamuone rais wampe list ya vitu wanavyoona vinatakiwa kuwepo kwenye muswada na ikitokea rais akakataa them watakuwa na nguvu zaidi ya mbele kwa wananchi. Inawezekana mkutano wa Dr Slaa,Salim na Warioba ulisaidia kwenye hili. CCM wasipokaa sawa wanaweza kujikuta on the loosing end maana wakikataa mapendekezo ya chadema ni shida na wakikubali mapendekezo hayo itaharibu 'ego. A catch 22 situation.

Ila kwa maoni yangu na kwa moyo safi kabisa, kama hii nchi ilikuwa na visionary leadership na niseme urais wa kitaifa badala ya ki-chama, kabla hata Celina Kombani na Werema hawajaandaa draft rais wa nchi alitakiwa akutane/akae chini na viongozi wa vyama vikuu vya upinzani (i.e CHADEMA, CUF & NCCR Mageuzi) wakubaliane TORs/mambo ya msingi. Katiba ni jambo la kitaifa sioni ni kwa vipi chama kimoja kinaamua kujibebesha mzigo nyeti kama muswada wa katiba. Huu ni udhaifu mkubwa kwenye uongozi wa juu wa nchi hii. Ni vizuri viongozi wetu waanze kujenga utamaduni wa kutambua mambo nyeti ya kitaifa na kuhakikisha haya mambo yanakuwa above party politics.

Bado upo katika mawazo ya kuhisi na kufikirika.
Bado CDM haina wataalam wa siasa,(watumieni vema kina Kitila Mkumbo)hili ni tatizo kubwa sana huwezi kuingia ikulu bila uwepo wa watu wanaojua siasa.

CDM kuna wanaharakati tu pale.Huwezi kumfuata Rais ambae matokeo yaliomuweka madarakani huyatambui,utaongea nae nini nawe hutambui uwepo wake....tokea siku ya kuapishwa hadi kufungua bunge umesusa,leo kuunda kamati ndogo ni sawa na kula matapishi yako.Je ni dalili za kutaka muafaka?kama ni hivyo CDM watakua na tofauti gani na CUF?

Mimi napata tabu..kwa nini hiyo list ya vitu vinavyotakiwa kuwepo kwenye mswada hawakuipigania bungeni,badala yake wanataka kumuona Rais.

Ni vema kuendelea tu na maandamano ,kwa uzoefu wangu muswada ukipita bungeni,uwezekano wa kupitishwa na Rais ni 99%
,
 
Ni offer ambayo haikustahili kutolewa kutoka CDM kwenda kwa RAis. SAsa Rais akisema hataki kukutana na hiyo Kamati ndogo CDM watafanya nini? Lakini vile vile japo wamejaribu lakini haiwezekani kumtenganisha Rais Kikwete kutoka kwenye Uenyekiti wa CCM. Kwa sababu maamuzi yoyote ambayo atayachukua kama Rais ni lazima yaende kwenye Chama chake!

Nadhani kumekuwepo mashauriano fulani kati ya viongozi wa CDM na baadhi ya wana CCM waandamizi ambao watakuwa wamewaomba CDM wasitumie nguvu ya umma katika kupambana na serikali. Kuna wana CCM wengi makini ambao hawaungi mkono jinsi muswada huu ulivyofikishwa bungeni.
 
Nadhani kumekuwepo mashauriano fulani kati ya viongozi wa CDM na baadhi ya wana CCM waandamizi ambao watakuwa wamewaomba CDM wasitumie nguvu ya umma katika kupambana na serikali. Kuna wana CCM wengi makini ambao hawaungi mkono jinsi muswada huu ulivyofikishwa bungeni.

Hivi wana nguvu ya umma in the first place??
 
Mnapigishana makelele wakati JK mwenyewe amechapa usingizi tu Ikulu. Miafrika vilaza sana nyie.
 
Back
Top Bottom