Wametoa tamko kuhusu matokeo ya form four pia. Wataunda kamati ya / tume ambayo. Itatoa report kufikia mwezi wa tano.
Katiba mpya mchakato uanzie bungeni .
Nimeipenda hii kwa kweli jamani. Yaani ni kama vile Chadema wanaongoza nchi vile. Waliosababisha hili janga la kitaifa (Matokeo ya Form IV) wako kimya kabisa kwenye viyoyozi as if haliwahusu. Tuliwaeleza kuhusu tatizo la shule za kata wakatuona wapuuzi na kutuita photocopy sasa matokeo yamewaumbua kwa kuwaonesha kuwa wao ndio photocopy.
Nakumbuka mgombea wao wa "urahisi" alikariri mpaka figure ya wanafunzi wa sekondari kwenye lile igizo la mdahalo ikulu. Kwake yeye siku zote namba ni muhimu kuliko quality. Sasa hizi zero karibu laki moja na nusu anazipeleka wapi? Angalizo please msitupelekee Division 4 high school, ni heri hayo madarasa yabaki wazi na hao walimu wa high school wakafundishe O level.