Rutakyamilwa
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 1,872
- 1,235
Wazee nimesika kwa mabli kwenye TBC kuwa Dr. slaa katoa tamko kuhusu amri ya hakimu kule Arusha ya kutaka wakamatwe. Aliyesikia alilosema atujuvye.
Mzee unaleta tetesi au ?
Mbona mwengine alisema ni sababu za kazi za kamati sio ugonjwa?Kesi ya jinai haiwezi kusikilizwa kama mstakiwa mmoja hayupo so wao kama viongozi wa kitaifa na wabunge kupitia wakili wao waliomba kutohudhuria mahakamni hadi hapo mshtakiwa mwenzao atakapokuwa kwenye hali ya kiafya itakayo mruhusu kuhudhuria mahakamni ili kesi iendelee. Hiki ndicho alicho sema Dr. W.P. Slaa