Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
kweli CUF ndio kiboko ya CHADEMA, Mkwara wa nguvu wamelegea kama mtoto wa kike, CUF sio CCM fujo wafanyieni CCM sio CUF. sawa sawa?
afu mnataka tuwape nchi? Kwa mtindo huu uchaguzi ujao hampati hata jimbo 1. Bakini huko Zanzibar.