Aiseee
Aiseee
Aiseee
Bado wanafanya uhakiki,uhamisho mwezi wa 7 kweli?kwenye taarifa za ukweli atujulishe, tusubilia uhamisho hadi tunachoka.
Nenda YouTube kaangalie taarifa ya Kairuki leo katolea ufafanuzi kidogo ishu ya uhamisho nadhani wanakamilisha baadhi ya mambo wataruhusu ila lini ndio haijafahamika bado.mbona uhakiki ushakwisha, Na mwezi Wa saba unaishilia ?
Naomba Link mkuu!Nenda YouTube kaangalie taarifa ya Kairuki leo katolea ufafanuzi kidogo ishu ya uhamisho nadhani wanakamilisha baadhi ya mambo wataruhusu ila lini ndio haijafahamika bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU hili swala LA uhamisho ni sensitive sana, unapoleta raarifa kama hizi use na uhakika vinginevyo unawaumiza watu bure wanaosubiri vibali.Nasikia barua kwa walioomba uhamisho zipo halmashaur,, kwa mwenye taarifa kamili tujuzane
Wewe ni kama mimi hivyohivyo daah inchosha sana!ukweli ni kwamba nimechoka sana kusubiri, nmepata mtu wa kubadilishana nae na taratibu zote tulifanya, jamani mpaka sasa mwaka umepita hakuna linaloendelea mbaya zaidi hakuna taarifa inyotolewa tujue kweli inaumiza sana
Ni kweli lipo Tamisemi getini tu ukifika