Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,555
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaSawa daktari, tutatembelea thread zako zakitabibu ukianzisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaSawa daktari, tutatembelea thread zako zakitabibu ukianzisha
Mwakani mwezi kama huu...kuwa mvumilivu.Dah sijui nafasi nyingine za ajira zinatoka lini.
Nimepigwa tena cha mbavu ha!ha!Kumbe PDF tayari
Dah!Mungu tusaidie
Vijana wa Tanzania na Watumishi wa Umma tupo kwenye NYAKATI Ngumu sana.Tumetelekezwa... vipi ushapata kaziThread Kama hizi Mara nyingi huanzishwa na walimu.
Ahahaaaa imeisha hiyo , kidagaa mmoja WA Tamisemi alisikikaPamoja na nafasi kutangazwa na kutolewa majina yaliyokamilika kwa nafasi za ualimu, Nasikitika kuwa katika nasi ambazo zilionyeshwa kuwa kuna nafasi na watapangiwa watu katika nafasi hizo.
Kumbe zilikuwa hewa na TAMISEMI walijua hawawapangii watu kabisa katika nafasi hizo. La kujiuliza, kama walijua hawapangi mtu katika nafasi hizo kwanini hakuziondoa na kuweka nafasi ya watu kugombea kwa usawa nafasi zilizopo?
Katika nafasi zote hizo 5, amepangiwa mtu mmoja tu kwa shule ya Rutamba. Hizo nyingine zote hamna aliyepangiwa
View attachment 2272846
Hahaaaaa ni mwendo WA cheap labour Tu , nchi inasikitisha hii , halafu kuna mbuzi inakuja kulakamika ubovu WA elimu, ni ajabu mpaka leo nchi hii kuna diploma na certificate ya education , ni ufala SanaAjira za tamisemi za kishenzi sana ,bora kwenda kulima tu na si kutegemea hizi ajira , wamejazwa watu wa diploma na certificate
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi certificate au diploma anauwezo kweli wa kufundisha mtot wa secondary mpaka kumefnya mtu wa bachelor degree aachwe achkuliwe yey, ndomaana ziro hazitoisha kweny shule za serikali kwa mfumo huuHahaaaaa ni mwendo WA cheap labour Tu , nchi inasikitisha hii , halafu kuna mbuzi inakuja kulakamika ubovu WA elimu, ni ajabu mpaka leo nchi hii kuna diploma na certificate ya education , ni ufala Sana
Usisahau kwenye afya pia, eti nafas 244 za assistant clinical officer (wenye cheti) zimekosa watu inabid zitangazwe upya wakat clinical officer ( wenye diploma) wengi tu wameomba na wamewachinjia bahariniHahaaaaa ni mwendo WA cheap labour Tu , nchi inasikitisha hii , halafu kuna mbuzi inakuja kulakamika ubovu WA elimu, ni ajabu mpaka leo nchi hii kuna diploma na certificate ya education , ni ufala Sana
Changamoto aiseeHii si lawama, ila nikotoa taarifa kuwa kinachofanywa watu wamekijua.. wakati mwingine kifanyike sahihi.. kulikuwa na shida gani kuweka nafasi zenye uhitaji hadi waweke nafasi hewa? Mtu aombe hewani abaki na tumaini angali wanajua fika hamna kitu? Kukosa si shida, shida ni uongo...
Aisee namimi nimeangalia hapa ni shule moja tu kwa masomo niliyoomba ndio Ile nafasi imejazwa n mtu....
Hadi wa hesabu pia?Hiyo hamna hata moja nliyopata nlikuwa wa kwanza, katika 5 zmekuja 4 moja haipo kwny mkeka na waliopata n diploma na moja n degree wa mwaka mmoja.View attachment 2273270
Na kweli serikali inaangalia unafuu wa kwao..Hahaaaaa ni mwendo WA cheap labour Tu , nchi inasikitisha hii , halafu kuna mbuzi inakuja kulakamika ubovu WA elimu, ni ajabu mpaka leo nchi hii kuna diploma na certificate ya education , ni ufala Sana
Mifumo yetu inatakiwa kupitiwa upya..Ivi certificate au diploma anauwezo kweli wa kufundisha mtot wa secondary mpaka kumefnya mtu wa bachelor degree aachwe achkuliwe yey, ndomaana ziro hazitoisha kweny shule za serikali kwa mfumo huu