TAMISEMI imeajiri watumishi wa afya 275 wa mikataba imeshindwa kuwalipa kwa miezi mitatu sasa

Serikali haiaminiki! Ni afadhari World Bank ndiyo wangekuwa wanalipa wenyewe!
 
Inasikitisha sana, imagine una familia miez mi3 hujalipwa mshahara na huna mchongo mwingine zaid ya hiyo ajira maisha yanakuwaje? Hivi hata hao wagonjwa unakutana nao utakuwa na uwezo wa kuwahudumia kweli ili hali una njaa ? Serikali inakuchukuliaje hili jambo?
 
Inasikitisha sana, imagine una familia miez mi3 hujalipwa mshahara na huna mchongo mwingine zaid ya hiyo ajira maisha yanakuwaje? Hivi hata hao wagonjwa unakutana nao utakuwa na uwezo wa kuwahudumia kweli ili hali una njaa ? Serikali inakuchukuliaje hili jambo?
Viongozi wote wakubwa Tumewasiliana nao ,ila hawana majibu yakueleweka.

Nimeomba uongozi wa jf wajaribu kushare kwenye platform zao za kijamii ila haijaweza kuwa hivyo.
 
Kumbe yule daktari aliyejinyonga yawezekana hii ikawa sababu.

Nilifanya kazi ya namna hii kipindi kile ilifika mpaka miezi 3 hatujapata mshahara ilikuwa ni kawaida.
 
Kumbe yule daktari aliyejinyonga yawezekana hii ikawa sababu.

Nilifanya kazi ya namna hii kipindi kile ilifika mpaka miezi 3 hatujapata mshahara ilikuwa ni kawaida
 
Back
Top Bottom