salisalum
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 418
- 136
Labda hana Mama. Msishangae kuna watu wengine walizaliwa wakatupwa jalalani wakaokotwa na wasamalia wema. Hawajui mama zao na walishadhurika kisaikolojia. Na huenda kweli alishalala naye bila kujua. Inaweza kutokea hasa kama mama yake alimzaa akiwa darasa la tano. Yaani kabinti ka miaka 12/13. By the time Tambwe anafikisha miaka 25 huyu mama yake atakuwa na miaka thelathini na kitu na kama hamjui aweza kutembea naye kabisa. Labda alishagundua hilo na sasa hana aibu nalo tena! Alaaniwe!