Najua wapo baadhi ya wanasiasa na vyama vya siasaambavyo vimepanga mikakati ya kuendeleza malumbano yauchaguzi na kutaka Watanzania waishi kama vile nchi ipokwenye kampeni za uchaguzi.Wamepanga wakati wotekutafuta jambo au hata kuzua jambo ili kuwachocheawananchi waichukie Serikali. Wamepanga kuchocheamigomo vyuoni na maandamano ya wananchi mara kwamara. Kwao wao huo ndiyo mkakati wa kujijenga kisiasa ilikujiandalia ushindi kwenye uchaguzi wa mwaka 2015. - JK salaam za mwaka mpya 2011.
Tambwe hiza kiongozi wa propaganda CCM, akihojiwa na chanel ten, amesema CDM , ndio kinausika na migomo yote ya hapa nchini inayotokea, kwa habari zaidi fatilia chanel ten sasa hivi
Tambwe hiza kiongozi wa propaganda CCM, akihojiwa na chanel ten, amesema CDM , ndio kinausika na migomo yote ya hapa nchini inayotokea, kwa habari zaidi fatilia chanel ten sasa hivi
Tambwe hiza kiongozi wa propaganda CCM, akihojiwa na chanel ten, amesema CDM , ndio kinausika na migomo yote ya hapa nchini inayotokea, kwa habari zaidi fatilia chanel ten sasa hivi