Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,320
- 33,125
Katika tamasha hilo nchi zilizohakikisha kushiriki ni pamoja na India, Iran, China, Korea na Indonesia.
Akizungumza na mtandao huu katika Ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo) jijini Dar, Balozi wa India hapa nchini, Ngulkham Gangte, alisema lengo la tamasha hilo hapa ni kutaka kuunganisha mahusiano ya kiutamaduni kati ya nchi za bara la Asia na Tanzania.
Balozi wa India hapa nchini, Ngulkham Gangte akiwajuza wanahabari tamasha hilo. Kulia ni Afisa Utamaduni wa Ubalozi wa Iran, Saeed Omidi na kulia ni mmoja wa wadau kutoka bara la Asia.
Baadhi ya washiriki wa hafla hiyo wakipata burudani ya vinywaji baridi.
Washiriki wengine wa hafla hiyo walionaswa na kamera yetu wakikata kiu.