Tamaa za kimwili ni mbaya sana ukishindwa kuzi control

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,817
32,196
Hellow Africa 🌍

Mwili una unaushawishi mkubwa sana ambapo ukishindwa kabisa kuzizibiti mwisho wa siku una aangukia poor

Wanasayansi wanasemaga matendo yetu. Yanategemeana na vitu vitatu ID EG NA SUPER EGO hizi huwa zinavutana sana kila moja inataka ishinde mwili na akili pia zinategemana

Tamaa ya mwili inanguvu sana mwisho. Wasiku unajikuta umefanya jambo baba 😂
 
Ndio maana sheria zikawekwa kwa ajili ya kumdhibiti huyu mwanadamu la sivyo kila mmoja angesema a feed his/her ego hakika ustaarabu ungetoweka duniani
 
Ndio maana sheria zikawekwa kwa ajili ya kumdhibiti huyu mwanadamu la sivyo kila mmoja angesema a feed his/her ego hakika ustaarabu ungetoweka duniani
Kabisa kuna muda unashindwa kudhibiti mwili wako na hisia kwasababu ya akilia
 
Hellow Africa

Mwili una unaushawishi mkubwa sana ambapo ukishindwa kabisa kuzizibiti mwisho wa siku una aangukia poor

Wanasayansi wanasemaga matendo yetu. Yanategemeana na vitu vitatu ID EG NA SUPER EGO hizi huwa zinavutana sana kila moja inataka ishinde mwili na akili pia zinategemana

Tamaa ya mwili inanguvu sana mwisho. Wasiku unajikuta umefanya jambo baba
Elezea zaid theory ya Ed ego and super ego zaidi I hate half baked information.
 
Hellow Africa 🌍

Mwili una unaushawishi mkubwa sana ambapo ukishindwa kabisa kuzizibiti mwisho wa siku una aangukia poor

Wanasayansi wanasemaga matendo yetu. Yanategemeana na vitu vitatu ID EG NA SUPER EGO hizi huwa zinavutana sana kila moja inataka ishinde mwili na akili pia zinategemana

Tamaa ya mwili inanguvu sana mwisho. Wasiku unajikuta umefanya jambo baba 😂
Kaka jambo ""Baba""????
 
Elezea zaid theory ya Ed ego and super ego zaidi I hate half baked information.
Id, ego na superego hufanya kazi pamoja kuunda tabia ya mwanadamu. Kitambulisho huunda mahitaji, ubinafsi huongeza mahitaji ya ukweli, na superego huongeza maadili kwa hatua inayochukuliwa.

Ingawa kila moja ya vipengele hivi vinaunda tabia ya binadamu, pia vinajumuisha baadhi ya wahusika tunaowapenda
 
Kabisa kuna muda unashindwa kudhibiti mwili wako na hisia kwasababu ya akilia
Kuna mahali hata kwenye biblia sikumbuki ni wapi huo mstari upo . Ila unasema kwamba mwili huwa ni adui wa Mungu . Kwa maana ya kwamba una tabia ya kushindana na sheria za Mungu mwenyewe . Sema naona mtu kama anaweza kuudhibiti mwili Kuna probability kubwa sana ya kuishi muda mrefu . Mfano mzuri jaribu kuwaangalia wale monks wa kule nchi za mashariki ya mbali Kama china na Japan
 
Kuna mahali hata kwenye biblia sikumbuki ni wapi huo mstari upo . Ila unasema kwamba mwili huwa ni adui wa Mungu . Kwa maana ya kwamba una tabia ya kushindana na sheria za Mungu mwenyewe . Sema naona mtu kama anaweza kuudhibiti mwili Kuna probability kubwa sana ya kuishi muda mrefu . Mfano mzuri jaribu kuwaangalia wale monks wa kule nchi za mashariki ya mbali Kama china na Japan
I'll ngumu sana
 
Elezea zaid theory ya Ed ego and super ego zaidi I hate half baked information.
The id, ego, and superego can be developed or changed over time through various experiences and life events.

For example, as individuals age and gain more life experience, their superego may become more fully developed as they internalize societal norms and values. This can lead to greater self-control and a greater ability to delay gratification as the superego becomes more effective in regulating the id’s impulses.

Similarly, traumatic experiences or major life events can disrupt the balance between the id, ego, and superego, leading to changes in their relative strengths or abilities to manage impulses and emotions.

Therapy can also play a role in developing or changing the id, ego, and superego. By working with a trained therapist, individuals can gain insight into their unconscious thoughts and behaviors and develop more effective strategies for managing their impulses and emotions. Over time, this can lead to a more balanced and integrated psyche, with the id, ego, and superego working together in a more harmonious and effective way.
 
Id, ego na superego hufanya kazi pamoja kuunda tabia ya mwanadamu. Kitambulisho huunda mahitaji, ubinafsi huongeza mahitaji ya ukweli, na superego huongeza maadili kwa hatua inayochukuliwa.

Ingawa kila moja ya vipengele hivi vinaunda tabia ya binadamu, pia vinajumuisha baadhi ya wahusika tunaowapenda
Mimi nilicho fundishwa ni hivi Id, is the primitive behaviour of man greediness nk, while ego is the positive part of man vizavie I'd then super ego put the balance between the two, and get a balanced behaved man.........am I correct sir?
 
Mimi nilicho fundishwa ni hivi Id, is the primitive behaviour of man greediness nk, while ego is the positive part of man vizavie I'd then super ego put the balance between the two, and get a balanced behaved man.........am I correct sir?
Mention principle zake
 
Hellow Africa 🌍

Mwili una unaushawishi mkubwa sana ambapo ukishindwa kabisa kuzizibiti mwisho wa siku una aangukia poor

Wanasayansi wanasemaga matendo yetu. Yanategemeana na vitu vitatu ID EG NA SUPER EGO hizi huwa zinavutana sana kila moja inataka ishinde mwili na akili pia zinategemana

Tamaa ya mwili inanguvu sana mwisho. Wasiku unajikuta umefanya jambo baba 😂
Picha?
 
Back
Top Bottom