Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
We ni mwanaume aisee!ahahaa naskia linapiga katerero ya hatare
ila kisimi kitakuwa kimechoka vibaya kimekuwa kama karatasi
We ni mwanaume aisee!ahahaa naskia linapiga katerero ya hatare
ila kisimi kitakuwa kimechoka vibaya kimekuwa kama karatasi
kwanini?We ni mwanaume aisee!
hivi kwanini mange aliachana na lance yamesemwa mengi ila sijui tatizo ni lipi haswaTatizo huyu demu ni cha uongo, trust me yaani anachokiongea na anachokifanya utofauti wake ni kama mbingu na ardhi,....huwezi amini alimvamia ba kenzo ofisini sijui shuleni kwake akampa kichapo cha mbwa mwizi, baba wa watu kamfungulia kesi na restrain order juuu..bahati yake Nyari ni mbeba nondo la sivyo nae angechezea makofi ya kufa mtuu...
Yule mi nahisi lakini (maana siri wanayo wawili)...mdomo mchafu +umalaya+ show off+ ba kenzo kukosa kazi na kuamua kurudi shule+ uchafu + maligi na watu around the world= Divorce on fleekhivi kwanini mange aliachana na lance yamesemwa mengi ila sijui tatizo ni lipi haswa
divorce ya mwendokasiYule mi nahisi lakini (maana siri wanayo wawili)...mdomo mchafu +umalaya+ show off+ ba kenzo kukosa kazi na kuamua kurudi shule+ uchafu + maligi na watu around the world= Divorce on fleek
Hilo neno huwa linatamkwa na wanaume tena wale tu wahuni ndio wanalijua hilo neno!eti "katerero",daàhkwanini?
nani anamuogopa mange humu bwana?Kama Leo sijapigwa block cjui manake mi ni die hard fan wake...(Tahadhari humu JF ana Fekero ID kama chawa, alishaniambia DM)...so anakufatilia huku anaenda kukunyoosha IG
Huruma muhimu dear...mi nawaonea huruma kina Keanu asee, wadogo sana asee, halafu nasikia ba kenzo yuko njiani kujichukulia watoto wake very soon, ngoja mshiko ukae vizuri si unajua macontractor Dubai inawalipa kinyamaaaa...divorce ya mwendokasi
ila namuoneaga huruma basi tu
naona ndo umekuja mjini mkuuHilo neno huwa linatamkwa na wanaume tena wale tu wahuni ndio wanalijua hilo neno!eti "katerero",daàh
Haaaaaa haaaa ......nimetokea kukupenda bure mdada si kwa kunivunja mbavu mweeee...nani anamuogopa mange humu bwana?
alishaanika wangapi ? alipata nini zaidi ya majanga mama yangu mange siku anidhalilishe hatoamini nitamloga yaani atamzika mwanae mmoja huku anaona watu tumejipanga bana weee alisema uchawi hauvuki bahari basi ajaribu aje pm nimuambie mimi ni nani akanichambe halafu anipe siku saba kama hajafanya matanga mfyuuu!!!!
shosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapoHaaaaaa haaaa ......nimetokea kukupenda bure mdada si kwa kunivunja mbavu mweeee...
Aaah wapi,mwanamke wa Bukoba bila kumpiga hiyo hajafika safari yake!Ila wasiwasi wangu mdada wa mjini umejuaje katerero?naona ndo umekuja mjini mkuu
Duuuuuu...hatareeee, watu wabaya asee, pole mwaegoshosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapo
yashapita shogaa kwaiyo najua chombo moja la hatare simuogopi tena mtuDuuuuuu...hatareeee, watu wabaya asee, pole mwaego
ahahaa hayo ni mawazo yako mkuu katerero inajulikana sanaAaah wapi,mwanamke wa Bukoba bila kumpiga hiyo hajafika safari yake!Ila wasiwasi wangu mdada wa mjini umejuaje katerero?
Tena unavoniita mkuu ndio nazidi pata wasiwasi zaidi!Ngoja nikimbie kabla mahasimu wangu hawajanikuta humu!ahahaa hayo ni mawazo yako mkuu katerero inajulikana sana
wewe usinichafue saa hiziTena unavoniita mkuu ndio nazidi pata wasiwasi zaidi!Ngoja nikimbie kabla mahasimu wangu hawajanikuta humu!
mkuu tupo tu leo wkend halafu habari zake anazileta mwenyewe tunazitoa kwakeHivi kweli inawezekana mtu ukawa umeacha matatizo ya familia yako ukaanza kujadili matatizo ya jirani?
Pamoja na mapungufu yote ya huyo mdada Mange, sijaona justification ya kujadiliwa hivi.
Kuna watu wanajiona kama malaika, kuwafanya wenzao kama mashetani.