Zalendohalisi
Senior Member
- Nov 2, 2007
- 120
- 2
ha ha ha .... TAKUKURU wanawafanyia interview wabunge! hiyo ni interrogation mkuu.
Kumbe umenipata; huo ndio ukweli kuwa tunaamua kutoelewa mambo yaliyo wazi kwa bias zetu kwa makusudi. Hi ndungu yangu waandishi wa habari wanapomhoji mbunge na kuweka "kiti moto" je wanafanya interview au interrogation? Hebu tuwe objective katika kauli zetu.
Kuulizwa kuhusu ulipwaji marambili malipo na kuthibitisha kama sahihi na majina yaliyopo kwenye hati za malipo ni ya mbunge mhusika, ni interview. Interrogation ni pale ambapo maelezo yako yanaweza kutumiwa kwenye mahakama ya sheria,na huwa unapewa caution ya hilo.
Mwizi asiyekuwa mzoefu ukimuuliza amebeba nini au anatoka/kwenda au umwambie unaitwa Polisi utashangaa atakavyo hamaki. Hawa wabunge wetu wanajifunza ufisadi ukubwani eventually wamegeuka kuwa wezi.
Ufisadi hua uko kwenye damu......... unachukua malipo double double Aibu .. Poor armatures!