Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,062
- 10,354
Maelekezo kutoka juu
Kwa faida ya mpira wa Tanzania.Maelekezo kutoka juu
LabdaKwa faida ya mpira wa Tanzania.
Kwa taarifa yako malinzi ni ccm damu....ukitaka evidence ni DMMalinzi ni mfuasi mkubwa wa UKAWA hatuwezi kumpa tena nafasi ya kuongoza soka letu. Hii ni awamu nyingine kabisa
Wapo jela, sasa wataendaje kwenye usahili?yes sheria ichukue mkondo wake,ila hawa si innocent until mahakama iwaone na hatia?,sasa ikitokea wakashinda kesi yao,si watakuwa wameshapoteza haki yao ya kushiriki kwenye uchaguzi huu?jamani kama tuhuma fungua kesi,peleleza,kama unaona wana kesi peleka mahakamani,sio otherway round,halafu kisheria unaruhusiwa kumshikilia mtuhumiwa kwa masaa mangapi kabla hujampandisha mahakamani?
Acha waende huko wapumbavu sana hao watu wamekula sana hela kwenye mpiraWapo jela, sasa wataendaje kwenye usahili?
auto Kaburu to, hata Aveva Raised went yumoooOoh jamani kumbe na Kaburu nae yupo ndani... aiseeee
Sio wote mkuu , wengine wametumwa kupotosha ummaNi upumbavu kulihusisha hili tukio na siasa...
Yaani huyu Malinzi kaliharibu soka la Tanzania bado watu wale wale walio kuwa wanataka Malinzi ajiuzulu ndiyo hao hao tena wanakuja kutetea aachiwe na kuendeleza wizi wake hapa TFF...
Tanzania ni nchi ngumu sana kuwaongoza watu wake.... Unatakiwa uwe mtu wa kula sana viroba.....
Kweli mkuuWahaya tushikamane. Tuonyeshe solidarity wakati wa kipindi hiki kigumu sana kwa Mhe. Dr. Mainzi
Kweli mkuuTAKUKURU sasa imeota meno ya Simba dume. Aveva umetuchezea sana wana Simba kwenye utawala wako timu haijafanya la maana bora ufungwe kabisa na pesa za Okwi rudisha tujengee uwanja wetu kule BUNJU
Nafikiri mpira iliuweze kusonga mbele inabidi wakae watu ambao waliucheza wanaujua maana wanajua maumivu walipokuwa uwanjani hivyo watautendea haki nikiangalia mfano mdogo tu Zambia waliwezafanya vizuri wanaongozwa na MTU anayeujua mpira ss kwetu MTU kiongozi hata kupiga danadana kumi hawezi kitakachompeleka pale ni kupiga hela tuu sio kuongoza kiweledi.