Take Care People!!!Men at Work.

Kuna dada mmoja maeneo ya kimara mwisho naye yalimkuta hayo.Alijikuta anawapeleka matapeli waliodai ni waganga nyumbani kwake.Walimwambia kwamba walioteshwa kuhusu matatizo aliyonayo na kwamba wangempatia tiba.Dada alijikuta akiwapeleka home na kuwakabidhi bila hofu wala wasi TV,radio,woofer n.k.Ile jamaa wanampa kisogo tu ndo akastukia jina la mchezo kwamba keshapigwa na wajanja,i mean ameogeshwa roundabout saa 6 mchana kweupeeee bila ukungu.

Duh!!Kweli kuna watu wamewekeza kwenye mali zilizo kwa watu wengine.Halafu hata polisi hawana njia madhubuti za kukabiliana na hali hii.
 
Pole sana, ila tamaa na kutokuwa na malengo, pindi utokapo nyumbani unatakiwa kuwa na ratiba,natoka nyumbani naenda ofisini na nitatumia muda fulani,nikitoka hapo naenda point b thn c nakuendelea.

Angalizo:
Tusiingize biashara nyingine katika muda ambao si wake
 
Cha kuzingatia ni kwamba tupunguze SHORT KATI za mafanikio, tutaepuka na mengi sana.
 
Pole sana, ila tamaa na kutokuwa na malengo, pindi utokapo nyumbani unatakiwa kuwa na ratiba,natoka nyumbani naenda ofisini na nitatumia muda fulani,nikitoka hapo naenda point b thn c nakuendelea.

Angalizo:
Tusiingize biashara nyingine katika muda ambao si wake

Onyo lako linaleta maana sana but sometimes the unfortunate do happen from nowhere.
 
Cha kuzingatia ni kwamba tupunguze SHORT KATI za mafanikio, tutaepuka na mengi sana.

Kweli kila tunachopata lazima tukitolee jasho na sio kuharakia kwenye msiba kwa kupita njia mkato isiyoelekea popote.
 
asante kwa taarifa. tahadhari muhimi jamani, tusitembee na cash nyingi mitaani dunia imeharibika!!
 
Mtanzania halisi umemaliza yote. Hao jamaa wamewahi kunitokea mara mbili maeneo ya Kariakoo na Mwenge. Mra nyingi huwa nawajibu "mm sio mtaaalamu wa masoko" basi wanaingia mitini. Kwa yeyote mwenye kutaka fedha kwa njia ya mkato lazima anase.
 
Back
Top Bottom