Tajiri Yusuf Bakhressa nakushauri acha kupoteza Fedha zako Kuihangaikia Azam FC basi hizo Fedha kasaidie Yatima Ubarikiwe zaidi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,157
110,627
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
 
Ulishawai kufanya biashara !. Au wewe ni mwajiliwa mwalimu.

Biashara sio siku moja kesho matokeo.
IMG_0219.jpg
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
Unataka kuwafundisha Azam jinsi ya kufungwa na Simba?
 
Usitupangie wanaume namna ya kutumia pesa zetu. Tafuta zako.
 
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono yetu Sisi Masikini akina GENTAMYCINE unayapuuza.

Yusuf Bakhressa tumeshakuambia sana tu kuwaondoa Klabuni Kwako ( Azam FC ) akina Kalimangonga Ongala na Aggrey Morris ( ambao Wote ni wana Yanga SC lia lia ) hakukutosha bali ondoa hadi Watendaji wako Wote wakiongozwa na CEO Popat, Kaimu Msemaji Ibwe, Kocha wa Makipa Mzawa, Daktari Mzawa na Meneja ambao Wote hawa ni wana Yanga SC lia lia ila husikii na Wewe unachojua ni kubadili tu Makocha ambao kwa bahati mbaya zaidi hata Makocha wenyewe nao unaowaleta si Makocha Bora bali ni bora Makocha tu.

GENTAMYCINE nakushauri Tajiri Yusuf Bakhressa ni kheri tu hizo zako nyingi Unazozipoteza Kuihudumia na Kuihangaikia Azam FC yako ukazielekeza katika kusaidia Watoto Yatima, Wajane, Wazee na Wahitaji ili upate zaidi Baraka zao na Mambo yako yakunyookee zaidi Kibiashara na Kimaisha.
Kwa hiyo Azam ikifika ni faida au hasara? Kwenye mpira wetu.Huoni uwekezaji wa Bharesa ndio Chachu ya kukuza mpira kwa kua tunapata ushindani mzuri.Halafu hizo story za Fulani Yanga sijui Simba ni ushamba tu.judge performance sio story za vijiweni.
 
Back
Top Bottom