Taifa staz vs Rwanda: Matokeo

Ushindi wa Taifa Stars dhidi ya Rwanda utatia chachu na ladha mechi ya Brazil kesho... Wenye matokeo tupeni maana mechi itakuwa inakaribia kwisha maana imeaanza saa 10 na nusu jioni kwa saa za Bongo
 
Ushindi ni muhimu sana kwetu waTZ. Tukifungwa na Rwanda itakuwa noma kishenzi. Maana hawa jamaa wanatajitahidi kutangaza superority EA ktk kila secta kuanzia science & technology hadi michezo.
 
Bongo bwana, mechi iko hapo rwanda tu... lakini hakuna hata chombo cha habari kinachorusha matangazo!! na mechi muhimu kama hiii!!
 
Nashangaa umuhimu mkubwa umewekwa kwenye mechi ya kesho na Brazil kuliko hiyoi ya CHAN, na watatufunga tu kwa ajili ya Brazil
 
Mechi imeisha hivi punde tumefungwa 1-0 baada ya bao lililofungwa na kiungo wa Rwanda Albert dakika ya 36 alipopiga shuti lililombabatiza beki wa Stars na kujaa wavuni. Kwa hiyo Rwanda imefuzu CHAN 2011 kule Sudan
 
Tumefungwa 1-0 na kutolewa kwa jumla ya bao 2-0. Bao la Rwanda limefungwa dk. Ya 36 na kiungo Albert haya tena tusubiri mechi ya Brazil
 
So sad..............Tumetolewa!!!!!!!!!!!!!...................Kisa?,mechi ya kirafiki na Brazil..........Tanzania bana
 
Tumefungwa 1-0 na kutolewa kwa jumla ya bao 2-0. Bao la Rwanda limefungwa dk. Ya 36 na kiungo Albert haya tena tusubiri mechi ya Brazil

Aasante kwa taarifa mkuu......Sahihisho kidoogo...Ni kwamba aggregate ni 2-1........Mechi ya kwanza tulitoka sare ya 1-1
 
Tumefungwa 1-0 na kutolewa kwa jumla ya bao 2-1. Bao la Rwanda limefungwa dk. Ya 36 na kiungo Albert haya tena tusubiri mechi ya Brazil

Uganda nao wamefuzu baada ya kufungwa na Kenya mjini Nairobi 2-1 lakini wamepita kwa sheria ya bao la ugenini kwani mechi ya awali walishinda 1-0 mjini Kampala
 
Hivi kwa nini tunacheza na Brazil? Au ni biashara tu?
 
Mechi imeisha hivi punde tumefungwa 1-0 baada ya bao lililofungwa na kiungo wa Rwanda Albert dakika ya 36 alipopiga shuti lililombabatiza beki wa Stars na kujaa wavuni. Kwa hiyo Rwanda imefuzu CHAN 2011 kule Sudan

Watu wakisema TFF bado haijapata viongozi, hatuamini. Wewe fikiria, kwa wiki kadhaa sasa watu wanaiongelea mechi ya brazil tu badala ya kuongelea mechi hii muhimu. Sitashangaa nikisikia wachezaji hawakuwa ma morali yoyote, wao wanawaza kucheza na brazil.
 
Watu wakisema TFF bado haijapata viongozi, hatuamini. Wewe fikiria, kwa wiki kadhaa sasa watu wanaiongelea mechi ya brazil tu badala ya kuongelea mechi hii muhimu. Sitashangaa nikisikia wachezaji hawakuwa ma morali yoyote, wao wanawaza kucheza na brazil.

... Nadhani TFF hawajui kabisa kitu kinachoitwa saikoloji ya mchezaji. Mechi ya Brazil lazima imewafanya wengi wao kucheza kwa tahadhari ili waiumie wakakosa kucheza kwenye mechi against Brazil ambapo wameishaambiwa vituovya TV 160 vitaonyesha pambano hilo Dunia nzima!
 
Hivi kwa nini tunacheza na Brazil? Au ni biashara tu?


mwaka wa uchaguzi huu kaka !!!!...but ukiacha hilo kama taifa ni vema kujitangaza.....tena nashauri tuweke watu pale wavizie timu zitakazokuwa zinatolewa zifanye stop over Tanzania kujiliwaza kabla ya kurudi makwao...kukabiliana na barua za kufukuzwa kazi kwa makocha wao!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom