Taifa Stars vs Uganda Cranes - Live

huyo kocha mpya atakayemrithi max inabidi atafakari kwanza juu ya huu msalaba atakaojitwisha kabla ya kuanza kazi maana sasa imekuwa aibu, tumechoka kila siku kununa tu......duh
 
Majuzi nilikuwa Angola baada ya CAN, wakaniuliza, hivi Tanzania favourite sport yenu ni nini? Nikashindwa kujibu. Ila kwa kuwa ni mwanaume nikajibu "lakini tunapenda mpira wa miguu"
Wakaniuliza tena, mbona hatukuwaona CAN?. Nusu niwaambie, tunacheza sana bao.
Sasa mnisaidie ninyi wenzangu, hivi favourite sport yetu ni nini?
 
Kwani nchi inakuwa na one favourite sport? Mana wengine tunapenda michezo mingine ambayo haina upenzi sanaaa hapa kwetu.Ila kwa Bongo tunapenda vitu kwa kadiri vinavyochipukia..Nakumbuka zamani katika music ilipendwa Pachanga..then zikaja chakaka..Bolingo ..Taarabu na BongoFlava etc..vivyo hivyo kwenye Fabo ilikuja ridhaa na Boxing wakati huo wakina Nyambui..Ikangaa..Titus simba,Isangura walikuwa wapo juu sana na wakat huo mpira ulikuwepo pia na kwa nafasi yake ukawa na washabiki lukuki.Ila Siwezi kusema kama Nchi eti tunapenda nini may b ungemwambia we don ve a favourite sport..Bao ni la wachache sanaa tena wazee
 
Majuzi nilikuwa Angola baada ya CAN, wakaniuliza, hivi Tanzania favourite sport yenu ni nini? Nikashindwa kujibu. Ila kwa kuwa ni mwanaume nikajibu "lakini tunapenda mpira wa miguu"
Wakaniuliza tena, mbona hatukuwaona CAN?. Nusu niwaambie, tunacheza sana bao.
Sasa mnisaidie ninyi wenzangu, hivi favourite sport yetu ni nini?
Favourite sport yetu ni kuendesha baiskeli hasa mikoa ya kanda ya ziwa.
 
Yametimia

Tumelala 3-2

tunaweza siasa eeh?

Ni uthibitisho kwa mara nyingine tena jinsi tulivyo wachovu ktk CECAFA (under HE Maximo...). Cranes, Harambee Stars, Amavumbi, Zanzibar Heros wote wametufunga mwaka huu.
 
Ni uthibitisho kwa mara nyingine tena jinsi tulivyo wachovu ktk CECAFA (under HE Maximo...). Cranes, Harambee Stars, Amavumbi, Zanzibar Heros wote wametufunga mwaka huu.
hata kama watz tunajitetea mara nyingi kuwa Roma haikujengwa kwa siku moja but this of ours is taking forever. Kazi tunayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom