NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 592
Huyo usimuwazie maana kuna wengine wamefika hapa wakachemka,kumbuka hii si friend match halafu na sisi tunae Nizar,Ngasa,Henry ambao nao wanawahofia pia na unaijua defence yetu hasa tunapokutana na timu kama hizi nyumbani.drogba na ramirez(wa chelsea) walishatufunga,sijui chamakh nae atakuwa na hasira za kushindwa kuwafunga chelsea j2 iliyopita atamaliza hasira zake bongo