peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
Habari watanzania,
napenda nitoe changamoto kwa taifa letu linavyoyumba kwa kukosa mwelekeo nikikazia katika suala la kilimo kwanza;Taasisi kama SUMA JKT wamenunua matrekta na wamejaribu kuuza kwa bei kubwa soko gumu na kuamua kupunguza bei ili kupata wateja na pia wakulima hawakopesheki hawana dhamana je lipi la maana kuacha matrekta yakae yard yakisubiri wanunuzi au wapewe wakulima kwa mikataba maalum ili waboreshe uzalishaji ili kusaidia kupunguza hata inflation.Naamini mmiliki ni chombo cha serikali hata kama wamepata kwa mkopo mwisho wa siku pesa ya mvuja jasho itatumika kulipa. wasomi wetu wa kilimo ni muda sasa wa kujitokeza na kuweka mipango inayokubalika kunusuru hii meli inayoelekea kwenye mwamba.tatizo langu huenda tukaangamia huku tiba ikijulikana.
LETA SULUHISHO KWA KUCHANGIA HOJA.
NAWAKILISHA KWENU
By Peter.
napenda nitoe changamoto kwa taifa letu linavyoyumba kwa kukosa mwelekeo nikikazia katika suala la kilimo kwanza;Taasisi kama SUMA JKT wamenunua matrekta na wamejaribu kuuza kwa bei kubwa soko gumu na kuamua kupunguza bei ili kupata wateja na pia wakulima hawakopesheki hawana dhamana je lipi la maana kuacha matrekta yakae yard yakisubiri wanunuzi au wapewe wakulima kwa mikataba maalum ili waboreshe uzalishaji ili kusaidia kupunguza hata inflation.Naamini mmiliki ni chombo cha serikali hata kama wamepata kwa mkopo mwisho wa siku pesa ya mvuja jasho itatumika kulipa. wasomi wetu wa kilimo ni muda sasa wa kujitokeza na kuweka mipango inayokubalika kunusuru hii meli inayoelekea kwenye mwamba.tatizo langu huenda tukaangamia huku tiba ikijulikana.
LETA SULUHISHO KWA KUCHANGIA HOJA.
NAWAKILISHA KWENU
By Peter.