CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
It is a pity kuwa nchi nzima na Rais wetu, PM, etc wanashabikia uzinzi. Huyu Marehemu (RIP) alikuwa katika matendo yasiyo mpendeza Mungu, lakini hayo yote Tanzania hawayaoni.
Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.
Huyu alikuwa anafanya uzinzi, basi najua mtanipiga madongo, potelea mbali.