Kwangu mimi Hayati Magufuli ndiye baba wa taifa la Tanzania

Elly official

JF-Expert Member
Sep 16, 2018
727
976
Heshima kubwa sana kwenye wana JF, najua nitashambuliwa na baadhi yenu humu. Ila ukweli utabaki kuwa kweli, na uongo utajitenge na ukweli.

Nimetafakari sana juu ya hali ya kisiasa inavyoenda kwa sasa nchini mwetu. Nikiri kuwa almost tawala zote za nchi hii nimeziishi japo ya nyerere na mwinyi kidogo nlikuwa sijajitambua hasa ya nyerere. Ila nlikuwa naona maisha yalivyokua.

Nyerere alipambana kutokomeza maadui 3 ambao ni njaa, maradhi na ujinga na bahati mbaya sana hadi anaondoka hakumtoa adui hata mmoja.

Kipindi cha mwinyi yeye sikumbuki alikuja na kauli mbinu ipi, ila nakumbuka tu watu walikula bata sana pesa ilikuwa njenje, mkapa pia sikumbuki, japo ninachokumbuka ni kilimo kwanza na alibana sana pesa ila akaiacha kwa wachahce watumbue wanavyoweza.

Kwa Kikwete nlikuwa najitambua na ndo nlianza kupiga kura hivo nlikuwa na akili timamu. Ari mpya nguvu mpya na kasi ya ajabu mzee huyu aliachia watu watumbue walivyoweza.

Nikaja kipindi cha jiwe
Babangu huyu aliileta Tanzania niliyokuwa naiota toka miaka ya 2005 nikiwa chuoni, nikiri uongozi wake ndo niliutamani toka miaka hiyo mambobyote aliyoyafanya niliyataman yafanyike tokea miaka ya 2005.

Magufuli alikuja kumfukuza adui mmoja naye ni ujinga na maradhi na njaa kwa sababu alitamani sana tuwe na fikira ya kujitegemea. Umaskini wote huu ni kwa vile tumeshindwa kujitegemea tunawaza tu kuwa kuna watu huko wanaweza kuacha nchi zao kuja kutuletea maendeleo hapa kwetu.

La hasha. Magufuli alihakikisha huduma za afya zinaimarika, alihimiza kila mtanzania mwenye aridhi ya kulima ajilimie chakula chake, aliondoa kodi kandamizi kwenye mazao na uliruhusiwa kusafirisha bure hadi tani moja ya mazao popote pale.

Alikuwa ni kiongozi ukimwangalia alikuwa na nia ya dhati kabisa kulikomboa taifa hili kifikra, na kiuchumi.

Bahari mbaya ngombe wa maskini hazai na akizaa. Watu wabaya wakatupa majonzi na leo huyu shujaa wetu, kipenzi chetu, baba wa taifa hili hatunaye tenaMungu ampe mapumbziko mema huko aliko.
 
Acheni kumfananisha baba wa taifa na mambo ya kipumbavu. JPM angefanya maendeleo bila kuingilia yasiyomhusu mbona angekua baba wa taifa. Sasa mtu unajenga nchi kuanza Tena vitisho, kutekana, kutukana waliokataa kukupa kura, kuwatishia wananchi kwenye kampeni, kuapa eti kabila Fulani hawatorudi nyumbani mwaka huu maana hawatopata pesa n.k it was unnecessary

Huwezi kuwa baba wa taifa huku ni mdini, mkabila, mchama, mkanda na mbinafsi.
 
Heshima kubwa sana kwenye wana JF, najua nitashambuliwa na baadhi yenu humu. Ila ukweli utabaki kuwa kweli, na uongo utajitenge na ukweli.

Nimetafakari sana juu ya hali ya kisiasa inavyoenda kwa sasa nchini mwetu. Nikiri kuwa almost tawala zote za nchi hii nimeziishi japo ya nyerere na mwinyi kidogo nlikuwa sijajitambua hasa ya nyerere. Ila nlikuwa naona maisha yalivyokua.

Nyerere alipambana kutokomeza maadui 3 ambao ni njaa, maradhi na ujinga na bahati mbaya sana hadi anaondoka hakumtoa adui hata mmoja.

Kipindi cha mwinyi yeye sikumbuki alikuja na kauli mbinu ipi, ila nakumbuka tu watu walikula bata sana pesa ilikuwa njenje, mkapa pia sikumbuki, japo ninachokumbuka ni kilimo kwanza na alibana sana pesa ila akaiacha kwa wachahce watumbue wanavyoweza.

Kwa Kikwete nlikuwa najitambua na ndo nlianza kupiga kura hivo nlikuwa na akili timamu. Ari mpya nguvu mpya na kasi ya ajabu mzee huyu aliachia watu watumbue walivyoweza.

Nikaja kipindi cha jiwe
Babangu huyu aliileta Tanzania niliyokuwa naiota toka miaka ya 2005 nikiwa chuoni, nikiri uongozi wake ndo niliutamani toka miaka hiyo mambobyote aliyoyafanya niliyataman yafanyike tokea miaka ya 2005.

Magufuli alikuja kumfukuza adui mmoja naye ni ujinga na maradhi na njaa kwa sababu alitamani sana tuwe na fikira ya kujitegemea. Umaskini wote huu ni kwa vile tumeshindwa kujitegemea tunawaza tu kuwa kuna watu huko wanaweza kuacha nchi zao kuja kutuletea maendeleo hapa kwetu.

La hasha. Magufuli alihakikisha huduma za afya zinaimarika, alihimiza kila mtanzania mwenye aridhi ya kulima ajilimie chakula chake, aliondoa kodi kandamizi kwenye mazao na uliruhusiwa kusafirisha bure hadi tani moja ya mazao popote pale.

Alikuwa ni kiongozi ukimwangalia alikuwa na nia ya dhati kabisa kulikomboa taifa hili kifikra, na kiuchumi.

Bahari mbaya ngombe wa maskini hazai na akizaa. Watu wabaya wakatupa majonzi na leo huyu shujaa wetu, kipenzi chetu, baba wa taifa hili hatunaye tenaMungu ampe mapumbziko mema huko aliko.
Loud and clear
 
Heshima kubwa sana kwenye wana JF, najua nitashambuliwa na baadhi yenu humu. Ila ukweli utabaki kuwa kweli, na uongo utajitenge na ukweli.

Nimetafakari sana juu ya hali ya kisiasa inavyoenda kwa sasa nchini mwetu. Nikiri kuwa almost tawala zote za nchi hii nimeziishi japo ya nyerere na mwinyi kidogo nlikuwa sijajitambua hasa ya nyerere. Ila nlikuwa naona maisha yalivyokua.

Nyerere alipambana kutokomeza maadui 3 ambao ni njaa, maradhi na ujinga na bahati mbaya sana hadi anaondoka hakumtoa adui hata mmoja.

Kipindi cha mwinyi yeye sikumbuki alikuja na kauli mbinu ipi, ila nakumbuka tu watu walikula bata sana pesa ilikuwa njenje, mkapa pia sikumbuki, japo ninachokumbuka ni kilimo kwanza na alibana sana pesa ila akaiacha kwa wachahce watumbue wanavyoweza.

Kwa Kikwete nlikuwa najitambua na ndo nlianza kupiga kura hivo nlikuwa na akili timamu. Ari mpya nguvu mpya na kasi ya ajabu mzee huyu aliachia watu watumbue walivyoweza.

Nikaja kipindi cha jiwe
Babangu huyu aliileta Tanzania niliyokuwa naiota toka miaka ya 2005 nikiwa chuoni, nikiri uongozi wake ndo niliutamani toka miaka hiyo mambobyote aliyoyafanya niliyataman yafanyike tokea miaka ya 2005.

Magufuli alikuja kumfukuza adui mmoja naye ni ujinga na maradhi na njaa kwa sababu alitamani sana tuwe na fikira ya kujitegemea. Umaskini wote huu ni kwa vile tumeshindwa kujitegemea tunawaza tu kuwa kuna watu huko wanaweza kuacha nchi zao kuja kutuletea maendeleo hapa kwetu.

La hasha. Magufuli alihakikisha huduma za afya zinaimarika, alihimiza kila mtanzania mwenye aridhi ya kulima ajilimie chakula chake, aliondoa kodi kandamizi kwenye mazao na uliruhusiwa kusafirisha bure hadi tani moja ya mazao popote pale.

Alikuwa ni kiongozi ukimwangalia alikuwa na nia ya dhati kabisa kulikomboa taifa hili kifikra, na kiuchumi.

Bahari mbaya ngombe wa maskini hazai na akizaa. Watu wabaya wakatupa majonzi na leo huyu shujaa wetu, kipenzi chetu, baba wa taifa hili hatunaye tenaMungu ampe mapumbziko mema huko aliko.
Hata chizi huwa hajitambui hata akiambiwa bado ataona wenzake ndiyo machizi!
 
Acheni kumfananisha baba wa taifa na mambo ya kipumbavu. JPM angefanya maendeleo bila kuingilia yasiyomhusu mbona angekua baba wa taifa. Sasa mtu unajenga nchi kuanza Tena vitisho, kutekana, kutukana waliokataa kukupa kura, kuwatishia wananchi kwenye kampeni, kuapa eti kabila Fulani hawatorudi nyumbani mwaka huu maana hawatopata pesa n.k it was unnecessary

Huwezi kuwa baba wa taifa huku ni mdini, mkabila, mchama, mkanda na mbinafsi.
Hizo sifa zinamdisqualify Magufuri kuwa Baba wa Taifa labda anafaa kuitwa Baba wa Dhuluma.
 
Familia ya Ban Saa nane na madaktari waliomtoa Lissu risasi..na kina Roma ...wanasema wamekusikia
 
Heshima kubwa sana kwenye wana JF, najua nitashambuliwa na baadhi yenu humu. Ila ukweli utabaki kuwa kweli, na uongo utajitenge na ukweli.

Nimetafakari sana juu ya hali ya kisiasa inavyoenda kwa sasa nchini mwetu. Nikiri kuwa almost tawala zote za nchi hii nimeziishi japo ya nyerere na mwinyi kidogo nlikuwa sijajitambua hasa ya nyerere. Ila nlikuwa naona maisha yalivyokua.

Nyerere alipambana kutokomeza maadui 3 ambao ni njaa, maradhi na ujinga na bahati mbaya sana hadi anaondoka hakumtoa adui hata mmoja.

Kipindi cha mwinyi yeye sikumbuki alikuja na kauli mbinu ipi, ila nakumbuka tu watu walikula bata sana pesa ilikuwa njenje, mkapa pia sikumbuki, japo ninachokumbuka ni kilimo kwanza na alibana sana pesa ila akaiacha kwa wachahce watumbue wanavyoweza.

Kwa Kikwete nlikuwa najitambua na ndo nlianza kupiga kura hivo nlikuwa na akili timamu. Ari mpya nguvu mpya na kasi ya ajabu mzee huyu aliachia watu watumbue walivyoweza.

Nikaja kipindi cha jiwe
Babangu huyu aliileta Tanzania niliyokuwa naiota toka miaka ya 2005 nikiwa chuoni, nikiri uongozi wake ndo niliutamani toka miaka hiyo mambobyote aliyoyafanya niliyataman yafanyike tokea miaka ya 2005.

Magufuli alikuja kumfukuza adui mmoja naye ni ujinga na maradhi na njaa kwa sababu alitamani sana tuwe na fikira ya kujitegemea. Umaskini wote huu ni kwa vile tumeshindwa kujitegemea tunawaza tu kuwa kuna watu huko wanaweza kuacha nchi zao kuja kutuletea maendeleo hapa kwetu.

La hasha. Magufuli alihakikisha huduma za afya zinaimarika, alihimiza kila mtanzania mwenye aridhi ya kulima ajilimie chakula chake, aliondoa kodi kandamizi kwenye mazao na uliruhusiwa kusafirisha bure hadi tani moja ya mazao popote pale.

Alikuwa ni kiongozi ukimwangalia alikuwa na nia ya dhati kabisa kulikomboa taifa hili kifikra, na kiuchumi.

Bahari mbaya ngombe wa maskini hazai na akizaa. Watu wabaya wakatupa majonzi na leo huyu shujaa wetu, kipenzi chetu, baba wa taifa hili hatunaye tenaMungu ampe mapumbziko mema huko aliko.
Usimfananishe MTUKUFU MAGUFULI NA HII takakaka ya makunduuchi
 
Familia ya Ban Saa nane na madaktari waliomtoa Lissu risasi..na kina Roma ...wanasema wamekusikia
Muuza ngada ...kwani biashara yenu ya familia yenu ya kuuza ngada unajua imeteketeza watz wangapi ? Zaidi ya vijana elfu 50 walikufa kila mwaka kwa sababu ya hiyo biashara yako chafu . Kenge mweusi wewe.
 
Heshima kubwa sana kwenye wana JF, najua nitashambuliwa na baadhi yenu humu. Ila ukweli utabaki kuwa kweli, na uongo utajitenge na ukweli.

Nimetafakari sana juu ya hali ya kisiasa inavyoenda kwa sasa nchini mwetu. Nikiri kuwa almost tawala zote za nchi hii nimeziishi japo ya nyerere na mwinyi kidogo nlikuwa sijajitambua hasa ya nyerere. Ila nlikuwa naona maisha yalivyokua.

Nyerere alipambana kutokomeza maadui 3 ambao ni njaa, maradhi na ujinga na bahati mbaya sana hadi anaondoka hakumtoa adui hata mmoja.

Kipindi cha mwinyi yeye sikumbuki alikuja na kauli mbinu ipi, ila nakumbuka tu watu walikula bata sana pesa ilikuwa njenje, mkapa pia sikumbuki, japo ninachokumbuka ni kilimo kwanza na alibana sana pesa ila akaiacha kwa wachahce watumbue wanavyoweza.

Kwa Kikwete nlikuwa najitambua na ndo nlianza kupiga kura hivo nlikuwa na akili timamu. Ari mpya nguvu mpya na kasi ya ajabu mzee huyu aliachia watu watumbue walivyoweza.

Nikaja kipindi cha jiwe
Babangu huyu aliileta Tanzania niliyokuwa naiota toka miaka ya 2005 nikiwa chuoni, nikiri uongozi wake ndo niliutamani toka miaka hiyo mambobyote aliyoyafanya niliyataman yafanyike tokea miaka ya 2005.

Magufuli alikuja kumfukuza adui mmoja naye ni ujinga na maradhi na njaa kwa sababu alitamani sana tuwe na fikira ya kujitegemea. Umaskini wote huu ni kwa vile tumeshindwa kujitegemea tunawaza tu kuwa kuna watu huko wanaweza kuacha nchi zao kuja kutuletea maendeleo hapa kwetu.

La hasha. Magufuli alihakikisha huduma za afya zinaimarika, alihimiza kila mtanzania mwenye aridhi ya kulima ajilimie chakula chake, aliondoa kodi kandamizi kwenye mazao na uliruhusiwa kusafirisha bure hadi tani moja ya mazao popote pale.

Alikuwa ni kiongozi ukimwangalia alikuwa na nia ya dhati kabisa kulikomboa taifa hili kifikra, na kiuchumi.

Bahari mbaya ngombe wa maskini hazai na akizaa. Watu wabaya wakatupa majonzi na leo huyu shujaa wetu, kipenzi chetu, baba wa taifa hili hatunaye tenaMungu ampe mapumbziko mema huko aliko.
Sawa, maoni yako na yaheshimiwe.
Ila mi najua lile lolikuwa shetani hatari sana na twashukuru mno Mungu alivyolitwaa mapema kutuokoa waja wake
 
Magufuli alikuwa Rais mzuri... tatizo moja alilokuwa nalo ni kuwa... hakuongoza kwa kutumia akili na hakuwa na busara..

Mfano.. Kuna mfanyabiashara wa korosho... Miaka yote huenda Lindi kukodisha mashamba na kulima korosho..
Sasa Magufuli katuma jeshi na kulikuwa na maelekezo kwamba kila mwenye magunia ya korosho aonyeshe shamba lake...
Sasa wale waliokuwa wamekodisha mashamba waliishia kupata hasara.. Una gunia 50 unawaelewesha wanakwambia wewe ni mwizi na mnyonyaji na gunia zinachukuliwa..

Sasa huwezi kuwa kiongozi mzuri huku unaumiza wananchi wako
 
Back
Top Bottom