zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,832
- 8,623
- Dr. Harrison Mwakyembe; anafaa sana kuwa Rais, au Waziri Mkuu 2015, hana uoga wa kusema ukweli, ni msomi, mtendaji na muadilifu na pia mfuatiliaji na anaheshimu sana Sheria.
- Ninasema anafaa sana!
Willie @ NYC, USA.
na wewe naomba unishawishi zaidi.