Tahadhari: Ufisadi katika awamu ya tano utaweka historia kuliko tawala zote!

Najua wapendwa mnapiga kelele lakini kelele zenu sio za bure iko siku itafanya kati. Lowassa aliwahi kusema msiingie mtaani kwa ajili ya ikulu watakimbia wenyewe. Nina uhakika 100% Sizonje atakimbia Ikulu siku sio nyingi.
,...Ah wapi!mhutu hawezi kukimbia ikulu labda ang'olewe na nguvu ya umma ama jeshi....kwa ubadhirifu huu hawezi kubali kuondoka bali atajijengea mazingira ya kutawala zaidi..maana anajua siku akitoka madudu haya yataweza kumtia kitanzi....
 
Unaweza kuwa unasema ukweli lakini ukishasema taratibu za zabuni, hapo sikubaliani nawe. PPRA na mambo yao ya zabuni ni njia ya Rushwa za kutisha! PPRA imeandikwa na hao hao wanaoisimamia. Unakumbusha TBA wakati unafahamu kwa zabuni ilifikia bilioni 200? Hata kama TBA wajenge kwa bilioni 50 bado hailingani na wapiga dili za zabuni. Hata ununuzi wa Boeing ulikufa kwa sababu tu wahusika walitaka kutangaza zabuni, eti kuwe na wanaoshindana kutuuzia boeing! Watoke wapi zaidi ya kampuniya boeing?

Tusiandike kama waganga wa kienyeji wanaotabiri maovu tuuuu!

Aaah bwana!!??

Tulitaka kununua ndege kutoka kampuni ya Boeing au tulitaka kununua ndege yenye uwezo wa kubeba abiria kiwango fulani?

Kama ndivyo, tatizo lilikuwa ni nini sasa hata mchakato usifanyike kwa uwazi na ukweli kwa kuzingatia taratibu na sheria tulizojiwekea?

Huoni kuwa kuruhusu mtu mmoja kwenda kununua ndege kama vile wewe unaenda dukani kununua gauni la mkeo ndiyo batari zaidi kuliko kufuata mifumo ya kisheria tuliyonayo?

Sheria za tendering tuliziweka za nini sasa kama hatuzizingatii na kuzifuata???

Ona sasa kuna 1.5trn haijulikani ziko wapi. Ni wazi kuwa, kuna uwezekano mkubwa zimeibwa na kuliwa na wajanja wachache akiwemo huyo huyo "Jiwe" aliyejituma kwenda kununua ndege ya Boeing na Bombardier!!!
 
Aaah bwana!!??

Tulitaka kununua ndege kutoka kampuni ya Boeing au tulitaka kununua ndege yenye uwezo wa kubeba abiria kiwango fulani?

Kama ndivyo, tatizo lilikuwa ni nini sasa hata mchakato usifanyike kwa uwazi na ukweli kwa kuzingatia taratibu na sheria tulizojiwekea?

Huoni kuwa kuruhusu mtu mmoja kwenda kununua ndege kama vile wewe unaenda dukani kununua gauni la mkeo ndiyo batari zaidi kuliko kufuata mifumo ya kisheria tuliyonayo?

Sheria za tendering tuliziweka za nini sasa kama hatuzizingatii na kuzifuata???

Ona sasa kuna 1.5trn haijulikani ziko wapi. Ni wazi kuwa, kuna uwezekano mkubwa zimeibwa na kuliwa na wajanja wachache akiwemo huyo huyo "Jiwe" aliyejituma kwenda kununua ndege ya Boeing na Bombardier!!!
Tatizo ni kulinganisha ununuzi wa ndege na simu ya mkononi. Unapotaka Bombardier huna sababu ya zabuni, mtengenezaji ni mmoja duniani. Ukitaka Boeing au Airbus ni hivyo hivyo. Zabuni ya nini? Mbona mwenzangu hujiongezi?

Boeing niliyoitaja naona huna historia nayo. Nadhani ulikuwa bado darasa la sita, au kama ulishamaliza shule, basi ni mmoja ktk wale wanaoshinda kijiwe cha Man-U ukichambua wachezaji. Naeleza ili umuulize jirani yako. Wakati wa Awamu ya 4 tulitaka kununua Boeing. Ikashindikana kwa kuwa tu kuna watu walitaka inunuliwe na mzabuni kuifikisha ATC. Boeing ikagoma maana haiuzi ndege kwa mtu wa kati. Kwa tamaa ya rushwa zetu, wahusika wakaachana na uamuzi huo maana hawakuwa na faida ya manunuzi ya aina hiyo. Bado unahangaikia zabuni ya ndege?
 
Kwahiyo solution ni manunuzi kufanywa kiholela?! Hivi panapo utendaji kazi kiholela namna hii; unaweza kuwa na clue as to WHY Boeing and not Airbus?!
Yaweza kuwa hujawahi kufanyakazi ktk ngazi ya maamuzi. Jitahidi kuuliza hata jirani yako kabla ya kuandika haya. Jiulize kwa nini Serikali imejaza magari ya Toyota ktk maofisi yake? Kwa ufupi unapochangua kati ya Boeing, airbus, bombardier, embraer, etc. uamuzi unaweza tegemea the best service/product in the market. Anayekuamulia nini kiko best in the market siyo tender wala mtu wa PPRA, ni user ambaye ni expert na ana dictate. User anaombwa na mwenye pesa amshauri mnunuzi. Ukiwa mtaalamu wa Kompyuta huwezi kuamlishwa na afisa manunuzi anayejidai na PPRA yake ununue Dell wakati wewe kwa utaalamu wako unaelewa Mac ni best. Kataa kwa matumizi yako unataka Mac!

Magari serikalini ni Toyota, Zamani ilikuwa Land Rover, mengine ni machache na tunaelewa hayako fit kwa sababu mbali mbali, e.g matumizi ya mafuta, 4W zake mbovu, nk. kwa sasa Toyota ni the best! Umeelewa au bado brain imekwama?

Naeleza hivi na kwa upole ili hata wewe uliye na level ya kindergarten uweze kupata mfano unaokufaa.
 
Yaweza kuwa hujawahi kufanyakazi ktk ngazi ya maamuzi. Jitahidi kuuliza hata jirani yako kabla ya kuandika haya. Jiulize kwa nini Serikali imejaza magari ya Toyota ktk maofisi yake? Kwa ufupi unapochangua kati ya Boeing, airbus, bombardier, embraer, etc. uamuzi unaweza tegemea the best service/product in the market. Anayekuamulia nini kiko best in the market siyo tender wala mtu wa PPRA, ni user ambaye ni expert na ana dictate. User anaombwa na mwenye pesa amshauri mnunuzi. Ukiwa mtaalamu wa Kompyuta huwezi kuamlishwa na afisa manunuzi anayejidai na PPRA yake ununue Dell wakati wewe kwa utaalamu wako unaelewa Mac ni best. Kataa kwa matumizi yako unataka Mac!

Magari serikalini ni Toyota, Zamani ilikuwa Land Rover, mengine ni machache na tunaelewa hayako fit kwa sababu mbali mbali, e.g matumizi ya mafuta, 4W zake mbovu, nk. kwa sasa Toyota ni the best! Umeelewa au bado brain imekwama?

Naeleza hivi na kwa upole ili hata wewe uliye na level ya kindergarten uweze kupata mfano unaokufaa.
Umeelewa msingi wa swali langu?!

Huko kuwa sehemu ya maamuzi unakozungumzia wewe ni kupi?! Haya maamuzi yanayofanywa na watu wasio waadilifu?!

Wewe mfanya maamuzi ambae uadilifu wake ni questionable... anajifungia chumbani na kuamua it's Boeing!! It's Boeing kwa sababu probably alikuwa approached na Madalali wa Boeing huku akiahidiwa 10% yake!

Akishakuwa approached; anaamua na kwenda kwa wataalamu only for rubber stamping ili ionekane palikuwa na ushauri wa kitaalamu!

So, don't talk of corrupt decision makers here!! Msingi wa hoja wa kufuata taratibu na kuzuia watu kufanya maamuzi kwa utashi wao huku wakiwa influenced na external factors.

Kama taratibu zina mapungufu; non corrupt leaders wanashughulikia mapungufu husika badala ya genge moja la watu kufanya vile wanavyoona wao inafaa wakati uadilifu wa some if not all gang members is doubtful!
 
Umeelewa msingi wa swali langu?!

Huko kuwa sehemu ya maamuzi unakozungumzia wewe ni kupi?! Haya maamuzi yanayofanywa na watu wasio waadilifu?!

Wewe mfanya maamuzi ambae uadilifu wake ni questionable... anajifungia chumbani na kuamua it's Boeing!! It's Boeing kwa sababu probably alikuwa approached na Madalali wa Boeing huku akiahidiwa 10% yake!

Akishakuwa approached; anaamua na kwenda kwa wataalamu only for rubber stamping ili ionekane palikuwa na ushauri wa kitaalamu!

So, don't talk of corrupt decision makers here!! Msingi wa hoja wa kufuata taratibu na kuzuia watu kufanya maamuzi kwa utashi wao huku wakiwa influenced na external factors.

Kama taratibu zina mapungufu; non corrupt leaders wanashughulikia mapungufu husika badala ya genge moja la watu kufanya vile wanavyoona wao inafaa wakati uadilifu wa some if not all gang members is doubtful!
Nimethibitisha tunatofautiana! Umewahi kuhisi kwamba Toyota imehonga serikali za Africa na kuwa kampuni inayoongoza kwa wingi wa magari Afrika na Duniani? Makampuni yanayotengeneza ndege Duniani, baadhi yanafanana ubora lakini unapotafuta ndege ya kununua huwezi kutangaza tender. Wapi ulisikia hilo Duniani kote? Toa mfano mmoja tu wa nchi iliyotangaza Tender. Kwa nini ifanyike Tanzania tu? Mbona unasikitisha?

Biashara ya kuuza ndege ni ngumu ndo maana huzikuti showroom. Makampuni makubwa ya Airbus na Boeing huchuana kwa bei. Ukijadiliana na Boeing leo usione ajabu kabla hujanunua, utaletewa best deal na Airbus. Ni Lobbying, siyo tender!! Na katika Lobbying hapo ndo utakuta unachokiita rushwa. Siyo rushwa ni bussiness promotion sawa na wewe unapotembelewa na waziri mkuu wa Uingereza ukaamua kumpa vitenge vya urafiki, siyo rushwa!! Kama ni rushwa si uliziona kwenye radar wakati wa Kikwete, mbona hukurusha miguu kukataa? Chenji ya rada ikarudishwa, ilienda wapi? Munahangaikia mambo ya manufaa munaacaha rushwa za wazi ambazo zilijitokeza na leo kwa upuuzi kabisa, mijitu inasema tunakumisi!! Hopeless!
 
Nimethibitisha tunatofautiana! Umewahi kuhisi kwamba Toyota imehonga serikali za Africa na kuwa kampuni inayoongoza kwa wingi wa magari Afrika na Duniani? Makampuni yanayotengeneza ndege Duniani, baadhi yanafanana ubora lakini unapotafuta ndege ya kununua huwezi kutangaza tender. Wapi ulisikia hilo Duniani kote? Toa mfano mmoja tu wa nchi iliyotangaza Tender. Kwa nini ifanyike Tanzania tu? Mbona unasikitisha?

Biashara ya kuuza ndege ni ngumu ndo maana huzikuti showroom. Makampuni makubwa ya Airbus na Boeing huchuana kwa bei. Ukijadiliana na Boeing leo usione ajabu kabla hujanunua, utaletewa best deal na Airbus. Ni Lobbying, siyo tender!! Na katika Lobbying hapo ndo utakuta unachokiita rushwa. Siyo rushwa ni bussiness promotion sawa na wewe unapotembelewa na waziri mkuu wa Uingereza ukaamua kumpa vitenge vya urafiki, siyo rushwa!! Kama ni rushwa si uliziona kwenye radar wakati wa Kikwete, mbona hukurusha miguu kukataa? Chenji ya rada ikarudishwa, ilienda wapi? Munahangaikia mambo ya manufaa munaacaha rushwa za wazi ambazo zilijitokeza na leo kwa upuuzi kabisa, mijitu inasema tunakumisi!! Hopeless!
Hopeless ni wewe manake unashindwa kabisa kuona kwamba mtu anapotaja Boeing au Airbus, huo ni mfano tu ambao unaweza kuwa applicable kwa aina yoyote ya manunuzi yanayofanywa na serikali!!!

Look at you... kumbe upo hapa kumtetea Magufuli ndo maana reference yako ni JK!

Lemme tell you this: JPM and JK are from the same corrupt gang na usidanganye watu kwamba someone is better than another!!

Si ni wizara ya huyo huyo Malaika ambayo ilinunua kivuko substandard na hili kuzima watu midomo; akaihamishia jeshini!

Si ni serikali ya huyo "Malaika" iliyotoa tender ya ujenzi wa international airport kwa mshikaji wake ambae ni classmate wake wa Lake Secondary... Stephen Makigo!

Hata wakati yupo Ujenzi, alimvuta Makigo na kumpa ujumbe wa TEMESA... TEMESA ile ile iliyokuwa chini ya JPM na ambayo ilinunua kivuko substandard!!

The same JPM aliyejenga international airport kijijini kwao with no any possible commercial viability for international airport!

Mkoa mzima wa Geita hauna hospitali ya rufaa lakin katika hali ya kushangaza Malaika anajenga hospital ya rufaa kijijini kwao.... kijiji ambacho kipo pembezoni kabisa mwa Mkoa wa Geita!

Mtu mwadilifu kamwe hawezi kuwa na cfa hizo hapo juu and so, stop making him look like what! Eti Mwadilifu.... that's a joke!
Magu nae ni fisadi tu kama mafisadi wenzake wengine!!
Sifa moja wapo ya mafisadi ni kupendelea kwao!!

Tangu nchi hii ipate uhuru haijawahi kuwa na fisadi anayependelea kwao but Mr. Malaika is!

Btw; what did you just say?! Kwamba tunaacha kuhangaika na rushwa za wazi?!

Come on man, you can't be serious; can you?!

"Malaika" Magu aliingia madarakani na gia za kuanzisha Mahakama ya Mafisadi!

Kila mwenye akili timamu anafahamu politicians are the main agents of grand corruption!!

Gimme a name of only one high profile politician aliyefikishwa japo mahakama ya mwanzo for corruption... ONLY ONE!

Si umetaja JK na radar scandal?!

Kwanza nikukumbushe jambo moja manake inaonekana hufahamu what's going on in this country!!

Radar saga ilikuwa awamu ya Mkapa na sio JK though that isn't the issue!

Kama JK na serikali yake walikuwa mafisadi; pelekeni basi mahakamani manake Magu ndo presdaa hivi sasa!

Sio tu presdaa; bali alikuja na tambo za kupambana na ufisadi!

Tuseme JK na Mkapa wana kinga; what about mawaziri na some top government executives ambao wana tuhuma za rushwa?

Anyone charged?

NONE?!

WHY?! Magu nae ni wale wale tu! He's from the same corrupt gang!! There's no way a corrupt gang member can do a thing to fellow gang members!!

Kwahiyo danganyeni wale wavaa sare za kijani and if there must be someone else to be told that lie, I 'm sorry to disappoint you but that someone can never be chige!

Halafu jomba vp!! Lobbying!! Lobbying!! Mbona unarudia kitu ambacho nimeshaeleza?! Kwani kuna pahala niliposema Boeing zinauzwa kwa tenda? Nimetumia neno Madalali!! Hata katika ku-handle hao Madalali kuna taratibu zinatakiwa kufuatwa or else hiyo lobbying itabeba corruption elements ndani yake!

I know Lobbyists are one of the two sides of the corrupt gang and another side being government officials and/or politicians!!
 
Hopeless ni wewe manake unashindwa kabisa kuona kwamba mtu anapotaja Boeing au Airbus, huo ni mfano tu ambao unaweza kuwa applicable kwa aina yoyote ya manunuzi yanayofanywa na serikali!!!

Look at you... kumbe upo hapa kumtetea Magufuli ndo maana reference yako ni JK!

Lemme tell you this: JPM and JK are from the same corrupt gang na usidanganye watu kwamba someone is better than another!!

Si ni wizara ya huyo huyo Malaika ambayo ilinunua kivuko substandard na hili kuzima watu midomo; akaihamishia jeshini!

Si ni serikali ya huyo "Malaika" iliyotoa tender ya ujenzi wa international airport kwa mshikaji wake ambae ni classmate wake wa Lake Secondary... Stephen Makigo!

Hata wakati yupo Ujenzi, alimvuta Makigo na kumpa ujumbe wa TEMESA... TEMESA ile ile iliyokuwa chini ya JPM na ambayo ilinunua kivuko substandard!!

The same JPM aliyejenga international airport kijijini kwao with no any possible commercial viability for international airport!

Mkoa mzima wa Geita hauna hospitali ya rufaa lakin katika hali ya kushangaza Malaika anajenga hospital ya rufaa kijijini kwao.... kijiji ambacho kipo pembezoni kabisa mwa Mkoa wa Geita!

Mtu mwadilifu kamwe hawezi kuwa na cfa hizo hapo juu and so, stop making him look like what! Eti Mwadilifu.... that's a joke!
Magu nae ni fisadi tu kama mafisadi wenzake wengine!!
Sifa moja wapo ya mafisadi ni kupendelea kwao!!

Tangu nchi hii ipate uhuru haijawahi kuwa na fisadi anayependelea kwao but Mr. Malaika is!

Btw; what did you just say?! Kwamba tunaacha kuhangaika na rushwa za wazi?!

Come on man, you can't be serious; can you?!

"Malaika" Magu aliingia madarakani na gia za kuanzisha Mahakama ya Mafisadi!

Kila mwenye akili timamu anafahamu politicians are the main agents of grand corruption!!

Gimme a name of only one high profile politician aliyefikishwa japo mahakama ya mwanzo for corruption... ONLY ONE!

Si umetaja JK na radar scandal?!

Kwanza nikukumbushe jambo moja manake inaonekana hufahamu what's going on in this country!!

Radar saga ilikuwa awamu ya Mkapa na sio JK though that isn't the issue!

Kama JK na serikali yake walikuwa mafisadi; pelekeni basi mahakamani manake Magu ndo presdaa hivi sasa!

Sio tu presdaa; bali alikuja na tambo za kupambana na ufisadi!

Tuseme JK na Mkapa wana kinga; what about mawaziri na some top government executives ambao wana tuhuma za rushwa?

Anyone charged?

NONE?!

WHY?! Magu nae ni wale wale tu! He's from the same corrupt gang!! There's no way a corrupt gang member can do a thing to fellow gang members!!

Kwahiyo danganyeni wale wavaa sare za kijani and if there must be someone else to be told that lie, I 'm sorry to disappoint you but that someone can never be chige!

Halafu jomba vp!! Lobbying!! Lobbying!! Mbona unarudia kitu ambacho nimeshaeleza?! Kwani kuna pahala niliposema Boeing zinauzwa kwa tenda? Nimetumia neno Madalali!! Hata katika ku-handle hao Madalali kuna taratibu zinatakiwa kufuatwa or else hiyo lobbying itabeba corruption elements ndani yake!

I know Lobbyists are one of the two sides of the corrupt gang and another side being government officials and/or politicians!!
Dah! Calm down! Ukiandika kwa jazba hutaweza kupanga sentensi, hutaweza kupanga paragraph, utaharibu mtiririko wote wa maelezo. Utajikuta unalazimisha kuandika kila baya unalolifahamu. Kweli kuna mtu mwenye muda wa kusoma haya yote uliyoandika? Nimeshindwa boss
 
Dah! Calm down! Ukiandika kwa jazba hutaweza kupanga sentensi, hutaweza kupanga paragraph, utaharibu mtiririko wote wa maelezo. Utajikuta unalazimisha kuandika kila baya unalolifahamu. Kweli kuna mtu mwenye muda wa kusoma haya yote uliyoandika? Nimeshindwa boss
Unajifanya huna muda wa kusoma baada ya kuona nimeuanika ufisadi wa Pombe! Very funny..

AGAIN! Magu is just another corrupt leader from the very same corrupt gang ndo maana amekosa ujasiri wa kuwafikisha mahakamani other corrupt gang members... so, peleka kwingine simulizi za uadilifu wa Magu; but here, nah!
 
Tatizo ni kulinganisha ununuzi wa ndege na simu ya mkononi. Unapotaka Bombardier huna sababu ya zabuni, mtengenezaji ni mmoja duniani. Ukitaka Boeing au Airbus ni hivyo hivyo. Zabuni ya nini? Mbona mwenzangu hujiongezi?

Boeing niliyoitaja naona huna historia nayo. Nadhani ulikuwa bado darasa la sita, au kama ulishamaliza shule, basi ni mmoja ktk wale wanaoshinda kijiwe cha Man-U ukichambua wachezaji. Naeleza ili umuulize jirani yako. Wakati wa Awamu ya 4 tulitaka kununua Boeing. Ikashindikana kwa kuwa tu kuna watu walitaka inunuliwe na mzabuni kuifikisha ATC. Boeing ikagoma maana haiuzi ndege kwa mtu wa kati. Kwa tamaa ya rushwa zetu, wahusika wakaachana na uamuzi huo maana hawakuwa na faida ya manunuzi ya aina hiyo. Bado unahangaikia zabuni ya ndege?

Nijiongeze kivipi ndugu yangu wakati maelezo yangu yako wazi?

Please, hebu wewe ndiyo jiongeze. Na ukijiongeza weka ufahamu wa udadisi wa akili zako!!

Nimeuliza tulitaka ndege au aina ya ndege? Nani aliamua kuwa tununue Bombardier ama Boeing?

Hoja yangu ni kwamba:

Kama tulitaka ndege, tendering ilikuwa ni lazima ili kila kampuni inayotengeneza ndege iombe tenda kwa uwazi....


Hapa maana Bombardier wangeomba, Boeing wangeomba, Airbus wangeomba na kampuni zingine pia. Yes, shida yetu si ilikuwa ni ndege au??

Sasa hebu jibu maswali haya:

Ni nani aliyeamua tununue ndege toka kampuni ya Bombardier? Kwa nini na kwa utaratibu gani??
 
Dah! Calm down! Ukiandika kwa jazba hutaweza kupanga sentensi, hutaweza kupanga paragraph, utaharibu mtiririko wote wa maelezo. Utajikuta unalazimisha kuandika kila baya unalolifahamu. Kweli kuna mtu mwenye muda wa kusoma haya yote uliyoandika? Nimeshindwa boss

Mimi nimesoma yote na nimemwelewa huyo ndugu...

Sasa kama wewe unashindwa kusoma maandishi ya kutumia dakika 1 tu, then una shida..... sio bure.
 
Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
Kuwanunua wabunge, madiwani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa, kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi, kuwafunga jela na sasa wanawalipa Cyprian msiba na kafulila kupotosha Umma kwa Story za Uongo, pesa za walipa kodi zinatumika kwa mambo ya hovyo hovyo tu
 
Salam za jumapili wanabodi!!

Napenda kuweka hii rejea mahsusi kwa siku za mbele!!

Katika awamu ya tano kuna vitendo vya hovyo sana hasa ktk suala zima la matumizi ya pesa za umma. Na u hivyo huu unafunikwa na Kauli ya 'nia njema'

Nchi yetu imejiondoa kabisa ktk program ya uwazi na mambo mengi sasa imekuwa ni siri kuu....

Tukianza na sakata la E-passport tukumbuke na ya Richmond!! Kwenye Richmond 'nia njema' na uharaka vilileta balaa!! Sura ile ile ya sakata la Richmond ndio imejitokeza kwenye E-passport!! Richmond ilipewa Kazi kinyume na zabuni na hii kampuni ya e E-passport pia imepewa Kazi kinyume na zabuni na haina sifa stahiki.

Awamu ya tano imetupa pembeni utaratibu wa zabuni na sasa inaamua na kufanya manunuzi au kuingia mikataba wenyewe kwa amri toka juu...

Rejea hii itatukumbusha siku za usoni na hasa kwa Miradi hii....

1. Uwanja wa ndege chato
2.vitambulisho vya utaifa
3.fly overs
4. Bombadier
5.Tenda za ujenzi za TBA n.k

Kwa kumalizia tuu.... nimeandika hayo nikiwa full detailed..... kuna vitu duniani havichiki navyo ni Jua...mwezi na ukweli.

MUDA NI HAKIMU WA YOTE!!
A Country is Not a Company
 
Back
Top Bottom