JayK
Member
- Feb 3, 2012
- 34
- 33
Hii nimekutana nayo leo kwenye phone bible yangu.
Mithali 6:32-33
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.
***************
Najaribu kufikiria tu ni wanaume wangapi humu jamii forum hawana akili kabisa....
Mithali 6:32-33
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.
***************
Najaribu kufikiria tu ni wanaume wangapi humu jamii forum hawana akili kabisa....