julius caesar
Member
- Mar 20, 2015
- 94
- 27
Habari wana jamii forum,
Ngoja niende direct to the point, kuna kipindi niliwahi kuweka bandiko hapa la kutafuta msichana ambaye Mungu angependa tungeweza kuoana,bahati nzuri wasichana wengi walijitokeza wakani pm,ila mmi nikaamua kumchagua mmoja kwa sababu yeye alikuwa mdogo kuliko wote walionitafuta na pia nilitokea kuvutiwa nae.
Baada ya kuwasillana nae kwenye simu na kunitumia Picha zake,ila changamoto kubwa yeye alikuwa anaishi mkoa mwingine tofauti na mimi,nkwa hiyo hatukuweza kuonana kirahisi ila tulikubaliana mda wa kuja kuonana live,nbaada ya kupita wiki mmoja yule dada akaanza kuniomba hela ya matumizi,ila mmi nikamjibu sina.
Nlijibu hivyo maksudi kwa sababu kwanza hatujawahi kuonana live bado hatujasomana vizuri anaanza kunipiga mizinga,pesa nilikuwa nayo ya kumpa ila mwenendo wake ulinitia wasiwasi,nikaamua kuleta uzi humu kuwauliza wana jf,je ni haki kumhudumia msichana ambaye hujawahi kumuona live amekutumia tu picha na hamjasomana vizuri?
Wengi walinipa ushauri tofauti nikachukua uamuzi wa mbayu wayu "akili za kuambiwa changanya na zako",nikaweka msimamo wangu nikasema huyu dada simpi hela yangu mpaka tuonane live,siku zikaenda yule dada aliendelea kunisumbua kuniomba hela ila mimi nikawa namjibu sina na mambo majukumu mengi yamenibana.
Baada ya wiki mbili yule dada kuniomba pesa bila mafanikio ya kumpatia,siku moja nipo kazini akanitumia sms kwenye simu,akasema mimi na yeye kuanzia siku ile mahusiano basi na pia akaniambia kama nataka sababu nimpigie,nikampigia kumuuliza kwani tatizo nini nimekukosea wapi?
Akanijibu unajua mwenyewe sababu ndio nimeshaamua hivyo,mmi na wwe basi,nikamwambia mapenzi hayalazimishwi kama umeamua hivyo sawa na kutakia kila kheri,tangu siku hiyo nikafuta namba zake na sina habari nae kabisa!.
My take: Ndani ya mitandao ya kijamii kwa mfano jf,kuna utapeli mkubwa sana wa kila aina,kuna baadhi ya wasichana ukiweka bandiko humu la kutafuta mchumba wanafikiri wwe ni domo zege kwa hiyo wanaiona hiyo ni fursa pekee yakujipatia kipato,kwa sababu atakumbeleleza kimahaba kwenye simu.
Ilimradi upagawe akikupiga mzinga utoe fasta halafu ndio humuoni tena,ushauri wangu kwa wanaume wenzagu ukikutana na hali kama hiyo kuwa kama mmi usitoe pesa bila kukutana live na msichana,usiwelimbukeni wa mapenzi na kwa wadada wenye tabia hiyo mauache "no shortcut to progress" mtakuja kuishia pabaya,wengine tukitangaza nia humu tuna jielewa sio ma zombi,mjaribu kuwa seriously ni hayo tu!
Ngoja niende direct to the point, kuna kipindi niliwahi kuweka bandiko hapa la kutafuta msichana ambaye Mungu angependa tungeweza kuoana,bahati nzuri wasichana wengi walijitokeza wakani pm,ila mmi nikaamua kumchagua mmoja kwa sababu yeye alikuwa mdogo kuliko wote walionitafuta na pia nilitokea kuvutiwa nae.
Baada ya kuwasillana nae kwenye simu na kunitumia Picha zake,ila changamoto kubwa yeye alikuwa anaishi mkoa mwingine tofauti na mimi,nkwa hiyo hatukuweza kuonana kirahisi ila tulikubaliana mda wa kuja kuonana live,nbaada ya kupita wiki mmoja yule dada akaanza kuniomba hela ya matumizi,ila mmi nikamjibu sina.
Nlijibu hivyo maksudi kwa sababu kwanza hatujawahi kuonana live bado hatujasomana vizuri anaanza kunipiga mizinga,pesa nilikuwa nayo ya kumpa ila mwenendo wake ulinitia wasiwasi,nikaamua kuleta uzi humu kuwauliza wana jf,je ni haki kumhudumia msichana ambaye hujawahi kumuona live amekutumia tu picha na hamjasomana vizuri?
Wengi walinipa ushauri tofauti nikachukua uamuzi wa mbayu wayu "akili za kuambiwa changanya na zako",nikaweka msimamo wangu nikasema huyu dada simpi hela yangu mpaka tuonane live,siku zikaenda yule dada aliendelea kunisumbua kuniomba hela ila mimi nikawa namjibu sina na mambo majukumu mengi yamenibana.
Baada ya wiki mbili yule dada kuniomba pesa bila mafanikio ya kumpatia,siku moja nipo kazini akanitumia sms kwenye simu,akasema mimi na yeye kuanzia siku ile mahusiano basi na pia akaniambia kama nataka sababu nimpigie,nikampigia kumuuliza kwani tatizo nini nimekukosea wapi?
Akanijibu unajua mwenyewe sababu ndio nimeshaamua hivyo,mmi na wwe basi,nikamwambia mapenzi hayalazimishwi kama umeamua hivyo sawa na kutakia kila kheri,tangu siku hiyo nikafuta namba zake na sina habari nae kabisa!.
My take: Ndani ya mitandao ya kijamii kwa mfano jf,kuna utapeli mkubwa sana wa kila aina,kuna baadhi ya wasichana ukiweka bandiko humu la kutafuta mchumba wanafikiri wwe ni domo zege kwa hiyo wanaiona hiyo ni fursa pekee yakujipatia kipato,kwa sababu atakumbeleleza kimahaba kwenye simu.
Ilimradi upagawe akikupiga mzinga utoe fasta halafu ndio humuoni tena,ushauri wangu kwa wanaume wenzagu ukikutana na hali kama hiyo kuwa kama mmi usitoe pesa bila kukutana live na msichana,usiwelimbukeni wa mapenzi na kwa wadada wenye tabia hiyo mauache "no shortcut to progress" mtakuja kuishia pabaya,wengine tukitangaza nia humu tuna jielewa sio ma zombi,mjaribu kuwa seriously ni hayo tu!