"Mods wanauwezo hata waku locate ip add za watu so mkiona mtumiaji ID nyingi tapeli toka pale pale mshughulike"
Kama Mods wana uwezo huo na kama kuna wanaTISS wamejipenyeza katika hao Mods, tuna uhakika gani na usalama wa identity ya members wa JF!! Just an observation.
Kama Mods wana uwezo huo na kama kuna wanaTISS wamejipenyeza katika hao Mods, tuna uhakika gani na usalama wa identity ya members wa JF!! Just an observation.