Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kwa mtazamo wangu, kufuatia kukamatwa na kufikishwa mahakama leo kwa Ponda na wenzake na kukosa dhamana, si ajabu, kesho baada ya swala ya Ijumaa, yakazuka maandamano makubwa kushinikiza Ponda na wenzake waaachiwe huru.
Mtazamo huu, unaenda sambamba na kauli ya kamanda Kova, kuwa hawataruhusu watu kuvunja sheria za nchi.Kitakachotokea bila shaka ni mvutano kati ya waislamu na jeshi la polisi na hatima yake kila mtu anaijua kwani tumeshashuhudia ktk majukwaa ya kisiasa matokeo ya kupimana ubavu kati ya polisi na raia.
Kwa hali ilivyo hivi sasa, ni vigumu kuamini kama waislamu wataridhika Ponda na wenzake kunyimwa dhamana.Haya ni matokeo ya kulea uovu kwa muda mrefu kwani hatua zilipaswa kuchukuliwa mapema kabla hali haijawa kama ilivyo sasa.
Mtazamo huu, unaenda sambamba na kauli ya kamanda Kova, kuwa hawataruhusu watu kuvunja sheria za nchi.Kitakachotokea bila shaka ni mvutano kati ya waislamu na jeshi la polisi na hatima yake kila mtu anaijua kwani tumeshashuhudia ktk majukwaa ya kisiasa matokeo ya kupimana ubavu kati ya polisi na raia.
Kwa hali ilivyo hivi sasa, ni vigumu kuamini kama waislamu wataridhika Ponda na wenzake kunyimwa dhamana.Haya ni matokeo ya kulea uovu kwa muda mrefu kwani hatua zilipaswa kuchukuliwa mapema kabla hali haijawa kama ilivyo sasa.