Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,794
- 22,463
Mpatuka umechelewa kwani tulikwisha yaweka sawa.Na wewe ni yuleyule, mbona picha zote mbili zimepigwa siku moja sehemu moja. Picha ya kwanza inaonesha shati alilovaa ndilo alilovaa Moro na ukuta unaoonekana Ubungo ndio unaonekana Moro. Kwa hali hii atakuwa amekuambukiza kusema uongo au nia yako ni kutuonesha unayo gari yenye kamera, kama ni hivyo hongera.