Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...watu mnaweza kulishwa nyama ya ng'ombe isiyopimwa. Basi la kampuni ya Kilimanjaro (Arusha - Dar) limegonga ng'ombe wawili karibu kabisa na kuingia stendi ya Bomang'ombe. Mwenye ng'ombe amekimbia (huenda ni kwa kuhamanika), dereva wa Kilimanjaro ametafuta wachunaji ili. kwa minibus wa kauli yake "niuze nyama nisepe zangu".
Habari njema ni kuwa hakuna abiria alieumia.
Habari njema ni kuwa hakuna abiria alieumia.